Kwenu TISS, Napinga tukio alilofanya huyu askali wenu, wala siyo weledi na heshima

Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani.

Yawezekana yule binti ni dhehebu tofauti na hajui utaratibu wa ibada wa madhehebu mengine au hata kuuliza tu japo yawezekana alipewa taarifa kufanya tukio lile.

Kwenye uhalisia wa kawaida kabisa na ikifahamika Mh. Rais atakuwa eneo fulani, huwa ni lazima security channel inafika mapema week au siku kadhaa kabla ya tukio ili kuweka mambo sawa.

Hiyo ni pamoja na kupewa na kufaham ithibati ya eneo husika kujipanga na kutake off ratiba ya tukio.

Sasa siku hiyo sijui mlikurupuka kutoka wapi au hamkujua ratiba ya kutoa sadaka ingefanyika au viongozi wa kanisa walishtukiza?.
-Sina hakika sana na hilo ila bado nasimamia titled yangu, NAPINGA TUKIO ALILOFANYA ASKALI WENU.

Kwenye kurudia namuona waziri mkuu kapitishiwa kikapu na askali wake wakifuatilia je, waziri mkuu hana nguvu kwa mustakabali wa nchi, kwamba hakidhurika haina maana yoyote?.

Je, walinzi hawakupewa taarifa ya utoaji wa sadaka na kujua kikapu gani kitatumika ili wakikague na wale mbwa wao?.
Hilo tukio linaleta nadharia mbili.au tatu;-

1.Ibadani hasa kwenye hizi dini kubwa sio salama Kwa viongozi wakubwa was nchi!

2.Viongozi ni waovu Hadi wanahisi Kuna maadui Hadi nyumba ya ibada!mtu mwema hawezi kufikiri anaweza tegewa sumu ibadani!!!

3.Mheshimiwa Raise hayupo salama tena,yaani Hana usalama was kiimani Toka Kwa watu wanaomzunguka na watz Kwa ujumla,yaani Kuna uadui was chini chini Hadi anaishi Kwa hofu kuu!!

Nimekumbuka enzi zile aligoma kunywa juice akamnywesha mwenyeji wake!!
 
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani.

Yawezekana yule binti ni dhehebu tofauti na hajui utaratibu wa ibada wa madhehebu mengine au hata kuuliza tu japo yawezekana alipewa taarifa kufanya tukio lile.

Kwenye uhalisia wa kawaida kabisa na ikifahamika Mh. Rais atakuwa eneo fulani, huwa ni lazima security channel inafika mapema week au siku kadhaa kabla ya tukio ili kuweka mambo sawa.

Hiyo ni pamoja na kupewa na kufaham ithibati ya eneo husika kujipanga na kutake off ratiba ya tukio.

Sasa siku hiyo sijui mlikurupuka kutoka wapi au hamkujua ratiba ya kutoa sadaka ingefanyika au viongozi wa kanisa walishtukiza?.
-Sina hakika sana na hilo ila bado nasimamia titled yangu, NAPINGA TUKIO ALILOFANYA ASKALI WENU.

Kwenye kurudia namuona waziri mkuu kapitishiwa kikapu na askali wake wakifuatilia je, waziri mkuu hana nguvu kwa mustakabali wa nchi, kwamba hakidhurika haina maana yoyote?.

Je, walinzi hawakupewa taarifa ya utoaji wa sadaka na kujua kikapu gani kitatumika ili wakikague na wale mbwa wao?.
Lakin kwa mtizamo wangu Askari yupo sahihi mkuu
 
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani.

Yawezekana yule binti ni dhehebu tofauti na hajui utaratibu wa ibada wa madhehebu mengine au hata kuuliza tu japo yawezekana alipewa taarifa kufanya tukio lile.

Kwenye uhalisia wa kawaida kabisa na ikifahamika Mh. Rais atakuwa eneo fulani, huwa ni lazima security channel inafika mapema week au siku kadhaa kabla ya tukio ili kuweka mambo sawa.

Hiyo ni pamoja na kupewa na kufaham ithibati ya eneo husika kujipanga na kutake off ratiba ya tukio.

Sasa siku hiyo sijui mlikurupuka kutoka wapi au hamkujua ratiba ya kutoa sadaka ingefanyika au viongozi wa kanisa walishtukiza?.
-Sina hakika sana na hilo ila bado nasimamia titled yangu, NAPINGA TUKIO ALILOFANYA ASKALI WENU.

Kwenye kurudia namuona waziri mkuu kapitishiwa kikapu na askali wake wakifuatilia je, waziri mkuu hana nguvu kwa mustakabali wa nchi, kwamba hakidhurika haina maana yoyote?.

Je, walinzi hawakupewa taarifa ya utoaji wa sadaka na kujua kikapu gani kitatumika ili wakikague na wale mbwa wao?.
Sema watu mnapenda kutafsili vibaya kwa vile amemnyang'a kiaskali
Ujaona video ya kijana umri wa miaka 16 Nchini Wale Kumjeruhi Pastor kanisani kwa kumchoma visu kwahiyo uwezi jua mtu anamawazo gani na kikapu kinaweza kuekewa sumu au kilipukizi.
Kwa mkakati ohoo
 
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani.

Yawezekana yule binti ni dhehebu tofauti na hajui utaratibu wa ibada wa madhehebu mengine au hata kuuliza tu japo yawezekana alipewa taarifa kufanya tukio lile.

Kwenye uhalisia wa kawaida kabisa na ikifahamika Mh. Rais atakuwa eneo fulani, huwa ni lazima security channel inafika mapema week au siku kadhaa kabla ya tukio ili kuweka mambo sawa.

Hiyo ni pamoja na kupewa na kufaham ithibati ya eneo husika kujipanga na kutake off ratiba ya tukio.

Sasa siku hiyo sijui mlikurupuka kutoka wapi au hamkujua ratiba ya kutoa sadaka ingefanyika au viongozi wa kanisa walishtukiza?.
-Sina hakika sana na hilo ila bado nasimamia titled yangu, NAPINGA TUKIO ALILOFANYA ASKALI WENU.

Kwenye kurudia namuona waziri mkuu kapitishiwa kikapu na askali wake wakifuatilia je, waziri mkuu hana nguvu kwa mustakabali wa nchi, kwamba hakidhurika haina maana yoyote?.

Je, walinzi hawakupewa taarifa ya utoaji wa sadaka na kujua kikapu gani kitatumika ili wakikague na wale mbwa wao?.
Kwa hiyo siku hizi Viongozi ni Bora kuliko Madhabahu?
 
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani.

Yawezekana yule binti ni dhehebu tofauti na hajui utaratibu wa ibada wa madhehebu mengine au hata kuuliza tu japo yawezekana alipewa taarifa kufanya tukio lile.

Kwenye uhalisia wa kawaida kabisa na ikifahamika Mh. Rais atakuwa eneo fulani, huwa ni lazima security channel inafika mapema week au siku kadhaa kabla ya tukio ili kuweka mambo sawa.

Hiyo ni pamoja na kupewa na kufaham ithibati ya eneo husika kujipanga na kutake off ratiba ya tukio.

Sasa siku hiyo sijui mlikurupuka kutoka wapi au hamkujua ratiba ya kutoa sadaka ingefanyika au viongozi wa kanisa walishtukiza?.
-Sina hakika sana na hilo ila bado nasimamia titled yangu, NAPINGA TUKIO ALILOFANYA ASKALI WENU.

Kwenye kurudia namuona waziri mkuu kapitishiwa kikapu na askali wake wakifuatilia je, waziri mkuu hana nguvu kwa mustakabali wa nchi, kwamba hakidhurika haina maana yoyote?.

Je, walinzi hawakupewa taarifa ya utoaji wa sadaka na kujua kikapu gani kitatumika ili wakikague na wale mbwa wao?.
Maswali ya maraia tabu sana

USSR
 
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani.

Yawezekana yule binti ni dhehebu tofauti na hajui utaratibu wa ibada wa madhehebu mengine au hata kuuliza tu japo yawezekana alipewa taarifa kufanya tukio lile.

Kwenye uhalisia wa kawaida kabisa na ikifahamika Mh. Rais atakuwa eneo fulani, huwa ni lazima security channel inafika mapema week au siku kadhaa kabla ya tukio ili kuweka mambo sawa.

Hiyo ni pamoja na kupewa na kufaham ithibati ya eneo husika kujipanga na kutake off ratiba ya tukio.

Sasa siku hiyo sijui mlikurupuka kutoka wapi au hamkujua ratiba ya kutoa sadaka ingefanyika au viongozi wa kanisa walishtukiza?.
-Sina hakika sana na hilo ila bado nasimamia titled yangu, NAPINGA TUKIO ALILOFANYA ASKALI WENU.

Kwenye kurudia namuona waziri mkuu kapitishiwa kikapu na askali wake wakifuatilia je, waziri mkuu hana nguvu kwa mustakabali wa nchi, kwamba hakidhurika haina maana yoyote?.

Je, walinzi hawakupewa taarifa ya utoaji wa sadaka na kujua kikapu gani kitatumika ili wakikague na wale mbwa wao?.
kwa wenye Imani thabiti hiyo sio ishu wala nini, ispokua wenye haba 🐒
 
Hao TISSI wenyewe hata watu wakidaiana wao ndo hutumiwa kutisha wanaodaiana???
Ati TISS kabisa anamkoromea mtu aliyekopeshana pesa na mwenzie bar naye anajitambulisha? Mm ni TISS nafanya kazi hapo MAKUMBUSHO ni mwenyeji sana pale.
Hao TISS au vibaka??
 
Issue ndogo hiyo
Tuchukue mfano huu hapa;

Mkiwa mezani na wageni wako muhimu mnataka kula, wakati mjukuu wangu anawanawisha mikono kwa beseni na jagi lenye maji kwa gafla mkeo anamnyang'anya mwanao jagi na beseni anakuja kukunawisha wewe!!.
 
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani.

Yawezekana yule binti ni dhehebu tofauti na hajui utaratibu wa ibada wa madhehebu mengine au hata kuuliza tu japo yawezekana alipewa taarifa kufanya tukio lile.

Kwenye uhalisia wa kawaida kabisa na ikifahamika Mh. Rais atakuwa eneo fulani, huwa ni lazima security channel inafika mapema week au siku kadhaa kabla ya tukio ili kuweka mambo sawa.

Hiyo ni pamoja na kupewa na kufaham ithibati ya eneo husika kujipanga na kutake off ratiba ya tukio.

Sasa siku hiyo sijui mlikurupuka kutoka wapi au hamkujua ratiba ya kutoa sadaka ingefanyika au viongozi wa kanisa walishtukiza?.
-Sina hakika sana na hilo ila bado nasimamia titled yangu, NAPINGA TUKIO ALILOFANYA ASKALI WENU.

Kwenye kurudia namuona waziri mkuu kapitishiwa kikapu na askali wake wakifuatilia je, waziri mkuu hana nguvu kwa mustakabali wa nchi, kwamba hakidhurika haina maana yoyote?.

Je, walinzi hawakupewa taarifa ya utoaji wa sadaka na kujua kikapu gani kitatumika ili wakikague na wale mbwa wao?.
Wekanvideo na sisi tuonenndio tutor maoni yetu
 
Sema watu mnapenda kutafsili vibaya kwa vile amemnyang'a kiaskali
Ujaona video ya kijana umri wa miaka 16 Nchini Wale Kumjeruhi Pastor kanisani kwa kumchoma visu kwahiyo uwezi jua mtu anamawazo gani na kikapu kinaweza kuekewa sumu au kilipukizi.
Kwa mkakati ohoo
Hilo ni kosa la watu wa itifaki,kwanza TISS inatambua kabisa moja ya taasisi zenye ma agent wake wengi ni taasisi za dini hasa RC,isingewezekana yule kijana awe kaokotwa tu mtaani awe mtumikinizi meza ya VIP,aliishafanyiwa clearance tayari.

Dada pale alifanya kwa utashi wake tu.
 
Hayo ni mambo ya dunia ya tatu.
Dunia ya Giza.
Wenzao vyombo vya usalama wa Taifa wanapigania uchumi wao wako kwenye mambo ya protocol ambayo wazungu walishayaacha kitambo
Protocols zipo kila nchi. ila wenzetu hawana za kizamani tena kiasi kwamba unakuta kiongoz hapumui. Focus yao kwa sasa ni geo political na economical threats. Sisi huku wanawaza uchaguzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom