Hii nchi imeoza Mh. Rais kuhusu majipu hadi unamaliza miaka yako 10 hutayamaliza, Madudu ni mengi na Issue ni Mindset ya kila mtanzania ndio iko affected na mauozo na tumeyahalalisha na kila mmoja anawajibika kwenye sehemu yake...
USHAURI: JPM atoe probation ya maybe 6 months ya kila mtu...
Huu ni Undezi ss ww mijitu 770 imecomment unataka ujibu wote mtawalishia familia zao kwa maana siku nzima akae anawajibu tu....Acheni Upompompooopo mjiongezeeee....
Hah hah ha hah ahaaah dah nianze kwa kicheko kilichojaa dharau na kebehi kisha nashushia na Bia aina ya Peroni inayopatikana kila Bar au Night Club au sehemu yoyote ya anasa katika jiji la Milan.
kikubwa kinachonichekesha ni kitendo cha makusudi cha washabiki wa soka wa siku hizi kujitia...
....Hv vitu viko wazi kama vazi la kahaba/nasambaza maradhi hlf nakupa siku saba/machozi ni haba/ uokozi ni njozi baba/...
Kunyonya Damu kwa hamu/Dogo Mwanaharamu/Kalamu inamwaga damu/nakuacha mweupe km mkorogo/chata km wagogo..
Shadow Of the Darkness - Hashim Dogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.