Hii nchi imeoza Mh. Rais kuhusu majipu hadi unamaliza miaka yako 10 hutayamaliza, Madudu ni mengi na Issue ni Mindset ya kila mtanzania ndio iko affected na mauozo na tumeyahalalisha na kila mmoja anawajibika kwenye sehemu yake...
USHAURI: JPM atoe probation ya maybe 6 months ya kila mtu...
Huu ni Undezi ss ww mijitu 770 imecomment unataka ujibu wote mtawalishia familia zao kwa maana siku nzima akae anawajibu tu....Acheni Upompompooopo mjiongezeeee....
Hah hah ha hah ahaaah dah nianze kwa kicheko kilichojaa dharau na kebehi kisha nashushia na Bia aina ya Peroni inayopatikana kila Bar au Night Club au sehemu yoyote ya anasa katika jiji la Milan.
kikubwa kinachonichekesha ni kitendo cha makusudi cha washabiki wa soka wa siku hizi kujitia...
....Hv vitu viko wazi kama vazi la kahaba/nasambaza maradhi hlf nakupa siku saba/machozi ni haba/ uokozi ni njozi baba/...
Kunyonya Damu kwa hamu/Dogo Mwanaharamu/Kalamu inamwaga damu/nakuacha mweupe km mkorogo/chata km wagogo..
Shadow Of the Darkness - Hashim Dogo
..Wanatutega akili wapate kumega deal/ juu ya bega la mswahili ni shega kuwasitiri/au tufanye ukafiri niwakanye kwa siri/niwalishe madini ili wanye Utajiri.. Hashim DOGO - Tunasonga
Ok kama ukipitia uzi vizuri nimebobea sn on how African society is Brainwash with fancy life ambayo wako nayo Mastar mbali mbali ambao ndio MaIdol wa kizazi hiki kipya na wakilekeza watu akina STEVE JOBS ambao hawanaromo zaidi kama anayopewa 50 cent wanaweza kuwainspire kizazi chetu in a...
Jamii ya waafrika imezidi kudhoofishwa na kudumazwa kifikra indirectly kwa kivuli cha "Maendeleo" na Usasa. Wazungu au wa Magharibi wamekwa wakitumia sana njia ya utandawazi kupandikiza na kueleza ubora wa maisha ya watu wao especially maarufu kupitia Muziki, Soka na hata filamu, hii imepelekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.