Yaani uvurumishe rungu kwenye kende kisa mbua katua. Thubutuuu. Hayo ni matumizi mabaya ya maumivu. Maumivu Peleka sehemu stahiki tena kwa sababu maalumu! Kama mionzi na kansa !!
Sent using Jamii Forums mobile app
The best solution ni kuhakikisha inawekea mifumo sahihi na thabiti ya kuzuia biashara hii ya magendo kwani kwa asili binadamu kaumbwa na ubinafsi. Sheria, taratibu, kanuni na miongozo viliwekwa ili kudhibiti mienendo ya mwanadanu ikiwemo ubinafsi
Yaani unatakaje niamini uzushi na hajawa muwazi!! Inakuwaje taarifa hizi nyeti za kumsaidia Mh. Rais unaziandika huku ukiwa na hofu kama Si uzushi na uvumi ni nini. Wewe mwambie mwenzio atueleze kiunagaubaga ni nini hasa na kafanyaje huyo Mheshiniwa (details)
Mimi ni mwanakusini halisi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.