Jinga kweli wewe,hujui lolote zaidi ya kula na kulala sebuleni kwa Shemeji yakoUnafurahia biashara ya magendo kushamiri kwenye taifa lako?
Umeshiriki magendo halafu unafurahia kabisa?
Watu kama wewe mnasitahili mjeledi kabisa ili mpate akili na uzalendo, na kama ingelikuwa ancient Bhaharat au China wewe ni wakunyongwa kabisa.
Uzalendo 0%
Atasema dola linaibia wananchi wake!!Ngoja ukishikwa na hizo dollars halafu hauna risiti ya manunuzi yake. Ndiyo utaelewa uzuri wake.
Wewe nahisi unaishi Nantumbo😎sio kweli.
Wafanyabiashara wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni walianzia kwenye black market serikali ilichowafanyia ni kama mmewasaidia kukuza biashara zao😎Arusha ndio michezo yao. Mwisho was siku, utakuta dola zipo mtaani na mabank hayana dola
Kwa kweli inahitaji elimu ifanye kazi badala ya mitutu.Jiulize tu mitutu ya bunduki na biashara wapi na wapi
Ndiyo wanakuja kulia humu sijui serikali iache unyang'anyi wa kidola..!! mara wanachukua hela za watu kimabavu kwenye A/C zao yaani sijui Watanzania tupoje..!!Ngoja ukishikwa na hizo dollars halafu hauna risiti ya manunuzi yake. Ndiyo utaelewa uzuri wake.
The best solution ni kuhakikisha inawekea mifumo sahihi na thabiti ya kuzuia biashara hii ya magendo kwani kwa asili binadamu kaumbwa na ubinafsi. Sheria, taratibu, kanuni na miongozo viliwekwa ili kudhibiti mienendo ya mwanadanu ikiwemo ubinafsiUnafurahia biashara ya magendo kushamiri kwenye taifa lako?
Umeshiriki magendo halafu unafurahia kabisa?
Watu kama wewe mnasitahili mjeledi kabisa ili mpate akili na uzalendo, na kama ingelikuwa ancient Bhaharat au China wewe ni wakunyongwa kabisa.
Uzalendo 0%
Wanyonge kwanza wale waliotupora kwenye EPA, IPTL, ESCROW, MEREMETA, RADAR, FERRY, MAJUMBA YA SEREKALI NK, kisha ndio mje mumalize na huyo, hapo ndio tutakuelewa. Vinginevyo ni unafiki tu hamna lolote.Unafurahia biashara ya magendo kushamiri kwenye taifa lako?
Umeshiriki magendo halafu unafurahia kabisa?
Watu kama wewe mnasitahili mjeledi kabisa ili mpate akili na uzalendo, na kama ingelikuwa ancient Bhaharat au China wewe ni wakunyongwa kabisa.
Uzalendo 0%
UmenikamataHata ungekuwa dafu licha ya nazi.
Sasa mkuu, how would you know kuwa fedha ukizouziwa sio feki? Nadhani moja ya vitu vinavyochochea rushwa/uhalifu ni willful participation kama yakoNaona Serikali ilifanya kazi nzuri kuyavamia maduka ya fedha za kigeni. Kwa sasa DOLA ya Marekani, Euro pamoja na Pound ya Uingereza inapatikana kwa njia ya magendo tena kwa bei nzuri zaidi ya ile ya madukani (FOREX Black Market). Fedha nyingi sana zinatembea mtaani ambayo inaikosesha serikali mapato makubwa sana.
Jumamosi, nikiwa eneo Fulani maarufu hapa Arusha, jamaa mmoja aliuza kiasi cha $125,000 ndani ya gari. Mimi nilikwa nahitaji $1,300 kwa ajili ya safari yangu Zambia, Mlangoni mwa Bureau De Change, jamaa kanivuta mkono na kuninong’onezea kwamba, hapo utasumbuka.
Piga hii namba, alinipa namba na baada ya kuipiga, haikuchukua muda, kama dakika 6 nilifika sehemu fani na kupata fedha za kigeni kwa bei nafuu.
Bila kunificha, hii biashara ni nzuri mtaani kuliko kwenye maduka. Watu wengi wanauza fedha hizi kimagendo kwa maana wanaona ni usumbufu kwenda kwenye bureau de change.
Naona Serikali imeamua kujikosesha fedha makusudi