Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,936
- 46,687
Sio kweli,lina nafasi kubwa ya kumshauri mtoa amri na kumpa implications ya amri zake kumonyesha nn mwisho wa operation yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mdau ananipm hapa kwamba jeshi huwa halina nafasi ya kumshauri mtoa amri. Huwa wanapokea na kutekeleza tu.
Sent using Jamii Forums mobile app