Naomba msaada hata wa mawazo niweze kumsaidia ndugu yangu ambaye kansa inamsumbua
Mwanzo ilikuwa breast cancer, surgery ikafanyika ocean road hospital ikifuatiwa na matibabu mengine kama chemotherapy na mionzi.
Baadae ikagundulika kuwa sehemu nyingine kama ini vimekuwa affected na akaanza...
I have my relative who is the Secondary School Teacher, has a diploma, specialised in Kiswahili and English subjects although not limited and wants to teach Private schools in Dar es salaam.
Please let us know if your school needs one or you have any information as far as the above is concerned.
Nina imani kuna tiba mbadala ya kansa ambazo mgonjwa anaweza kupata nafuu au kupona kabisa, naomba mwana jamii yeyote anayejua au mwenye ushuhuda anielekeze, pamoja na hizo bado tunaendelea kutumia tiba ya hospital.
February 20th
"You Measure The Size Of The Accomplishment By The Obstacles You Had To Overcome To Reach Your Goals"
-Booke T. Washington
February 21st
"In Order To Succeed You Must Fail So That You Know What Not To Do The Next Time."...
Mwenye namba za simu za Tumaini hospital naomba anisaidie ikiwezekana na pia kupata namba ya simu ya specialists wa mgonja ya njia za mkojo hasa kwa wazee na matatizo mengine ( urologists)
Nataka kuweka apointment kwa ajili hiyo
Kumekuwepo na tabia ambazo hazifai katika jamii ya watanzania na wengi tunaangalia tu bila hata kujiuliza ni kwa nini.
Kwanini mtu ajifikirie yeye ni muhimu kuliko mtu mwingine hasa katika kupata huduma ambazo ni muhimu kwa kila mtu?
Mara zote nikienda kwenye ATM naona watu wamekuwa wastaarabu...
Pole sana kwa yaliyokukuta,
Kwa kuongezea kwa yote yaliyosemwa hapo juu, tafuta muafaka vinginevyo mtoto atateseka na nina imani hatawasamehe akija kujua kwamba mlimtelekeza boarding simply because ya unyanyapaa uliojificha katika imani.
Hii dhana inayoinyemelea jamii ya kuokoka ni hatari kwani...
Nimekuwa nikilichunguza jambo hili ninalotaka kuzungumzia muda mrefu lakini limekuwa linanipa shida kuelewa ni nani wa kubebeshwa lawama au la.
Siku za hivi karibuni, kundi kubwa la watu hasa vijana wameamua kutokuwa na lugha wanayoifahamu kwa ufasaha wakijifikiria wao wanaenda na wakati sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.