Kwani Kigogo kasemaje? Bado ajatoa tamko?? Huyu ndiyo chanzo changu cha Habari
Tofauti na hapo hakuna anaejua nini kinaendelea
Au nasema uongo ndugu zangu!!!!
Watanzania mniombee
Yaani ww unaota asubuhi? Uwezo , elimu, ukomavu, ufanisi na weledi wa kijazi waufananisha na Makondakta
Kwa kufikiri wako kwa dhibitisha kweli ccm aitufai
Tra sio watu friendly, ni jitu linalotisha sana jitu hilo alijari hisia za watu japo wakati fulani sisi watanzania ni watu wajanja wajanja sana so wanafahamu hilo ndy maana wanatumia nguvu nyingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.