Kwani Kigogo kasemaje? Bado ajatoa tamko?? Huyu ndiyo chanzo changu cha Habari
Tofauti na hapo hakuna anaejua nini kinaendelea
Au nasema uongo ndugu zangu!!!!
Watanzania mniombee
Yaani ww unaota asubuhi? Uwezo , elimu, ukomavu, ufanisi na weledi wa kijazi waufananisha na Makondakta
Kwa kufikiri wako kwa dhibitisha kweli ccm aitufai
Tra sio watu friendly, ni jitu linalotisha sana jitu hilo alijari hisia za watu japo wakati fulani sisi watanzania ni watu wajanja wajanja sana so wanafahamu hilo ndy maana wanatumia nguvu nyingi
Issue sio kurahisha mtu au watu, issue ni kwamba ww una mtazamo wako ambao nyakati fulani unaweza kuwa tofauti na wa mwingine
Hivyo kuambiwa kwamba umeongea pumba sio dhambi, kwa hiyo uliambika kwa kuamini uko sahihi usipingwe au uwa unaandika lengo ni kufurahisha mtu?
Mm nikazie tu kwa hiyo...
Taswira ya nchi awezi kustawi kwa kuamini na kusaport ujinga, ukandamizaji
Taswira nzuri itajengwa kwa kuwa pamoja kama taifa pale utawala utakapo kuwa sahihi
Taswira nzuri itajengwa pale tutakapo kuwa pamoja kama taifa pale ambapo mtu mmoja au kikundi cha watu watakapo fanya mambo yao kwa...
Soja kama unavyojiita kifupi umeongea pumba, uzalendo unaouongelea mara kwa mara una unafiki ndani yake
Kanisa Lina nafasi kubwa ya ku shape tabia za waamini ili kuleta ustawi wa jamii
Kanisa Lina nafasi ya ku shape utawalawa ili kuleta ustawi wa wananchi
Oskofu kuwa mbele ya madhabau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.