Amini kwamba haijaisha mpaka iishe,Jamaa ataendelea kukutafuta na possibly atakufanya mbaya...Msaidie huyo dada apate Talaka ili apate japo vi mali kdgo...Usijichanganye ukaanza kuishi nae mapema hv issue bado ya moto aseee utapakiwa mkongo hutaamini
Wakuu kwema?
Sitaki kuwachosha naenda straight kwenye point
Ni muda mrefu sasa nimekuwa nkipata ndoto ambayo imekuwa ikijirudia mara kwa mara ikinihusisha na mambo ya darasani hasa hasa huwa naota npo kwenye chumba cha mtihani na katika chumba hicho mara nyingi huwa nakumbana na matatizo mengi...
Wakuu naombeni ushauri kidogo...mm ni mwalimu mwenye Elimu ya diploma na nmeamua kijiendeleza ki masomo na by now nasoma Accounting and finance mwaka wa mwisho...Shida yangu ni kutaka kujua ni Department gan inafanya vizur saiv kati ya Uhasibu au ukaguzi wa ndani(Internal audit) katika level ya...
Bt kwa akili ya kawaida tu how comes 2600Megawatts ziongezeke then bei isishuke jmn,I wish angekuwepo chuma...yan watu huku umeme ushakuwa wa kuwashia taa tu hata kutumia pasi inaonekana ni anasa kwa sababu ya gharama kubwa ya umeme.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.