Ajiandae na ukilema wa Kudumu mimi namfaham jamaa nitamsaidia kumpeleka kwa sangoma ili iwe fundisho kwa wengine ulikuwa unajidai na mkewe yeye anahangaika kutafuta wewe unamlia mkewe na hela zake juu ktk hili mimi lazima nimsaidie rafiki yangu. Wewe na huyo mwanamke lazima mnyooshwe na dunia ili iwe fundisho.Kivyovyote vile huyo jamaa hatokuacha salama.. kiufupi jiandae kuliwa jicho
Afadhali ungekuwa hujui kuwa ni mke wa mtu lakini hata ulipojua ulizidi kumuumiza mwanaume mwenzio. Kibaya zaidi hata mlipogundua kuwa amejua bado mlishirikiana na huyo mwanamke kumuumiza rafiki yangu. Hakuna namna lazima na nyinyi muumie tu.