Yawezekana mambo mengi yamechangia,nadhani ubongo wake umeingia disputed mode.
Utadhani walimpandikisa chip ya kumvuruga,Belgium ni mabingwa wa unyama uliokubuu,waliua milioni 15 za wakongo kwa amri ya Mfalme wao King Leopold,baadae ilimkaanga hadi akayeyuka Waziri mkuu wa kwanza wa Kongo...
Wakati mwingine wakandarasi wazawa wanakosa ushirikiano wa dhati.
Kwa mfano mmoja wao kashinda tender ampe sub contractor mkandarasi mzawa mwenye sifa fulani kwenye mradi.Kwa namna hiyo watamaliza kazi katika muda uliopangwa na kuaminika kupewa kandarasi nyingine.
Wazawa walio wengi kwanza hawajiamini.
Pili wakipewa fedha za mradi wanakimbilia kwanza kununua magari ya kifahari badala ya kununua nyenzo za mradi.
3.Miradi mingine upewa kama sehemu ya kuficha maovu ya wakubwa,miradi hewa.Inawaharibia CV.
4.Matumizi mabaya ya fedha yanasababisha poor...
Rushwa imechangia kwa kiasi kikubwa.Pili upeo mdogo, wewe ni msimamizi unamsimamia mkandarasi,unamwita SIr hata akivurunda,hii inferiority complex inatugharimu.
Wataliani ni mafundi wazuri hasa wa madaraja wanaposimamiwa na mtu anayejitambua kama Mwingereza.Lakini Wataliano hao hao wakisimamiwa...
Nilikuta DP World Singapore wana Ship dry docking and ship repair Business .Wako vilevile Indonesia.DP imekuwa kama Coca-Cola their spreading very fast globally.
Kitu muhimu kama taifa ni kuhakikisha wanufaika kwa mapana ni wananchi kwa ujumla wetu,kitekinologia,ajira zenye...
Ground all military choppers and make throughly technical investigation on incidents and accidents of those choppers.
It might be poorly maintained and operated.
Uraisi siyo sweet dreams,na kwa mfumo upi wa kuwachagua?
Ukiondoa Mwalimu Nyerere tumekuwa tunapata surprise ya viongozi wakuu,labda Kikwete alipousaka uraisi mara ya pili.
Kwa vyama vya upinzani navyo vinapitia changamoto ya uchanga,mtaji mdogo,na CCM kutokubali upinzani kushiriki siasa za...
Mkuu huyu sio muumba,ana mapungufu mengi tu,pammoja kuwa na Phd hajaiva,is short sighted, is just a cadet,means a students Especially kwenye offshore oil exploration.
Tumsaidie kwanza ili asije kuleta maafa period.
Mkuu Mjomba Magu alikuwa anasema katoa.........,mko kimya,leo Mama yetu anatoa kamili plus mnakasirika?Acha unafiki.Mlikuwa mnasifu hata nonsense issues kama Madagascar drug pammoja na kuitwa profesa aliehitimu Germany. Tanzania ni wanafiki.
Mama Piga kazi tupo nawewe.
Haya yote tumemuachia Mungu.
Wapinzani wanapata zero kwenye kujaza fomu za kugombea uwenyekiti wa mitaa nchi nzima!!
Kama haitoshi Majibu ya Jaji Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi yanakumbusha minyororo ya utumwa,kutawaliwa na wakoloni na ukoloni mamboleo wa man eat man society.
Mjomba Magu...
Mkuu inapendeza kuona majumba yenye mvuto,lakini mara nyingi wakandarasi ni kubana matumizi hasa majengo ya taasisi za umma.
Mwalimu Nyerere alizungumzia Dodoma ni ghorofa nne tu,na kama kuna technology imekuja nayo iwekwe wazi ili wananchi wafahamishwe,kwani kwenye basement ya ghorofa ndefu...
Mpina naona unataka kunyanganywa jimbo ,si bora ujilipue kama Lyatonga Mrema alivyokimbilia upinzani NCR Mageuzi.
CCM hawasahau na ukiona wamekupa kalipio kibunge na si kupitia chief whip ujue your days as CCM MP are numberd.
Dodoma inapendeza hongera. Wakati inaanzishwa CDA miaka ya 70 mwanzoni ilikuwa majengo ya ghorofa yasizidi ghorofa nne kwa kuwa kuna viashilia vya tetemeko pia na water table ipo juu.
Japan yenye matetemeko mengi duniani inajenga hata ghorofa 100 LAKINI chini yake kuna Spring na spring hizo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.