CCM-Simiyu wakerwa na Mpina kutaka uchunguzi wa kifo cha Magufuli. Wamtaka aache

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
2,030
974
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Simiyu Shemsa Seif Mohammed amemshukia Mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Joelson Mpina kuacha siasa za Majitaka na badala yake ajikite kuwatetea wananchi waliomchagua.

Aidha, Mwenyekiti huyo amewataka Wabunge wa Mkoa wa Simiyu kufanya shughuli za kuwaletea maendeleo wananchi ili CCM isipate wakati mgumu kuomba kura kwa wananchi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.



Ameyasema hayo April 25, 2024, kwenye ziara yake ya Tarafa kwa Tarafa iliyofanyika katika Tarafa ya Kanadi, kata ya Langangabilili wilayani Itilima ikiwa ni sehemu ya kukagua na kuimarisha uhai wa Chama kwa akikutana na mabalozi, viongozi wa matawi, mashina pamoja na Madiwani.

Akitolea mfano Jimbo la Kisesa, Mwenyekiti huyo amesema wananchi wanalia kwa sababu wana changamoto nyingi na Mbunge wao (Luhaga Mpina) hajawahi kufika kuwasikiliza badala yake anahangaika na kifo cha Rais Magufuli.

"Badala ya kuhangaika na matatizo ya wananchi, anahangaika na sababu ya kifo cha Rais Magufuli…aliyetuumba ndiye anajua lini na saa ngapi atatuchukua, unasema Mawaziri hawafai, yeye alikuwa Waziri hata salamu kwa wananchi wake alikuwa hawezi kuwasalimia, alitusaidia nini Wanasimiyu alipokuwa Waziri, arudi jimboni akatatue kero za wananchi"

"Wananchi wake wana maboma hayajaisha yanahitaji fedha, wananchi wake wanateseka na Tembo akapambane na waziri wananchi waache kuteseka…asiende kupambana na mipango ya Mwenyezi Mungu anapochukuwa watu wake"

Amesema CCM inapoteuwa Wabunge kwenda Bungeni, ni kwenda kutatua matatizo ya wananchi na kuhakikisha changamoto za wananchi zinatatuliwa huku akisisitiza kuwa Mbunge akishirikiana na Mwenyekiti wa Mkoa kupambania maendeleo ya wananchi yatawafikia haraka sana.

Ameeleza kuwa wana Kisesa wanasikitika sana kuona Mbunge wao akihoji vitu ambavyo hawajamtuma badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga jimbo kwa lengo la kuwatetea wananchi.

"Si uhame Kisesa uende huko ili wananchi wa Kisesa wachague mwingine wa kuwaletea maendeleo…nayasema haya kwa sababu nina uchungu, ulipewa Uwaziri, kipi kizuri ulichokifanya wewe kuanzia kwenye mkoa na wilaya yako husika, ni Mbunge anayeongoza hata kwa kutoshiriki vikao vya Chama, anaongoza hata kutokwenda kusikiliza wananchi wake’’ amesema Shemsa.

Ameongeza kuwa, ‘’kila siku yuko kwenye Magazeti na vyombo vya habari inasikitisha sana…unakwenda kuhoji kifo cha mtu Bungeni inasikitisha sana"

Akitolea mfano wa wabunge wazuri, Shemsa amemtaja Njalu Daud Silanga kuwa mchapakazi na anajituma kwa maslahi ya wana Itilima na anashughulikia maendeleo ya wana Itilima.

Amesema wana Mbunge anayepambana na Mawaziri na viongozi wa serikali kuleta maendeleo ya Jimbo huku akiwasisitiza kuendelea kumwombea ili awaletee maendeleo huku akiongeza kuwa ana Wabunge karibia wote wanasema shida za watu.

MWISHO.

vlcsnap-2024-04-25-19h20m37s543.png
picMNBHYT.jpg
IMG-20240425-WA0390.jpg
IMG-20240425-WA0388.jpg
IMG-20240425-WA0389.jpg
IMG-20240425-WA0391.jpg
 
Ni Mjinga sijawahi kuona.

Kwa akili kama hiii, naye kwakua ni Mwenyekiti CCM Taifa ,ni mshauri wa Rais 🤣

Wakomonisti WA CHINA wangejaa vilaza kama Hawa wa Tanzania, China Leo angekua bado anatawaliwa na Mjapani.

MPINA Amkomalie Waziri Mara ngapi kuhusu wanyama ? Kuhusu Raia wake kuuwa ?.


MPINA akagawe Pesa ili Raia wamalizie maboma yao??


Kifo Cha Mungu?. Kwan Kuna ajabu mtu kuuwawa?.



Wanawake kama Hawa wajinga wajinga ndio wanadanya Wanawake waonekane hawapaswi kupewa nyadhifa za kiuongozi.
 
Ni Mjinga sijawahi kuona.

Kwa akili kama hiii, naye kwakua ni Mwenyekiti CCM Taifa ,ni mshauri wa Rais 🤣

Wakomonisti WA CHINA wangejaa vilaza kama Hawa wa Tanzania, China Leo angekua bado anatawaliwa na Mjapani.

MPINA Amkomalie Waziri Mara ngapi kuhusu wanyama ? Kuhusu Raia wake kuuwa ?.


MPINA akagawe Pesa ili Raia wamalizie maboma yao??


Kifo Cha Mungu?. Kwan Kuna ajabu mtu kuuwawa?.



Wanawake kama Hawa wajinga wajinga ndio wanadanya Wanawake waonekane hawapaswi kupewa nyadhifa za kiuongozi.
Mtupe wasifu wake huyu Dada
 
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Simiyu Shemsa Seif Mohammed amemshukia Mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Joelson Mpina kuacha siasa za Majitaka na badala yake ajikite kuwatetea wananchi waliomchagua.

Aidha, Mwenyekiti huyo amewataka Wabunge wa Mkoa wa Simiyu kufanya shughuli za kuwaletea maendeleo wananchi ili CCM isipate wakati mgumu kuomba kura kwa wananchi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.

View attachment 2974565

Ameyasema hayo April 25, 2024, kwenye ziara yake ya Tarafa kwa Tarafa iliyofanyika katika Tarafa ya Kanadi, kata ya Langangabilili wilayani Itilima ikiwa ni sehemu ya kukagua na kuimarisha uhai wa Chama kwa akikutana na mabalozi, viongozi wa matawi, mashina pamoja na Madiwani.

Akitolea mfano Jimbo la Kisesa, Mwenyekiti huyo amesema wananchi wanalia kwa sababu wana changamoto nyingi na Mbunge wao (Luhaga Mpina) hajawahi kufika kuwasikiliza badala yake anahangaika na kifo cha Rais Magufuli.

"Badala ya kuhangaika na matatizo ya wananchi, anahangaika na sababu ya kifo cha Rais Magufuli…aliyetuumba ndiye anajua lini na saa ngapi atatuchukua, unasema Mawaziri hawafai, yeye alikuwa Waziri hata salamu kwa wananchi wake alikuwa hawezi kuwasalimia, alitusaidia nini Wanasimiyu alipokuwa Waziri, arudi jimboni akatatue kero za wananchi"

"Wananchi wake wana maboma hayajaisha yanahitaji fedha, wananchi wake wanateseka na Tembo akapambane na waziri wananchi waache kuteseka…asiende kupambana na mipango ya Mwenyezi Mungu anapochukuwa watu wake"

Amesema CCM inapoteuwa Wabunge kwenda Bungeni, ni kwenda kutatua matatizo ya wananchi na kuhakikisha changamoto za wananchi zinatatuliwa huku akisisitiza kuwa Mbunge akishirikiana na Mwenyekiti wa Mkoa kupambania maendeleo ya wananchi yatawafikia haraka sana.

Ameeleza kuwa wana Kisesa wanasikitika sana kuona Mbunge wao akihoji vitu ambavyo hawajamtuma badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga jimbo kwa lengo la kuwatetea wananchi.

"Si uhame Kisesa uende huko ili wananchi wa Kisesa wachague mwingine wa kuwaletea maendeleo…nayasema haya kwa sababu nina uchungu, ulipewa Uwaziri, kipi kizuri ulichokifanya wewe kuanzia kwenye mkoa na wilaya yako husika, ni Mbunge anayeongoza hata kwa kutoshiriki vikao vya Chama, anaongoza hata kutokwenda kusikiliza wananchi wake’’ amesema Shemsa.

Ameongeza kuwa, ‘’kila siku yuko kwenye Magazeti na vyombo vya habari inasikitisha sana…unakwenda kuhoji kifo cha mtu Bungeni inasikitisha sana"

Akitolea mfano wa wabunge wazuri, Shemsa amemtaja Njalu Daud Silanga kuwa mchapakazi na anajituma kwa maslahi ya wana Itilima na anashughulikia maendeleo ya wana Itilima.

Amesema wana Mbunge anayepambana na Mawaziri na viongozi wa serikali kuleta maendeleo ya Jimbo huku akiwasisitiza kuendelea kumwombea ili awaletee maendeleo huku akiongeza kuwa ana Wabunge karibia wote wanasema shida za watu.

MWISHO.

View attachment 2974004View attachment 2974005View attachment 2974006View attachment 2974007View attachment 2974008View attachment 2974009
Viongozi wa Sasa hivi siyo viongozi kwa sababu wameacha kufanya kazi yao halisi ya uongozi wameingia kujipendekeza,
Viongozi wengi wanaangalia matumbo Yao siyo kazi inayo paswa wafanye,
Sasa na huku wilaya ya ilemela mbunge hajawahi kuonekana na lenyewe ni tatizo la mpina.?
Mfumo wao kama ccm ni mbovu wa kukumbatiana na kukataa chaguo la wananchi na kuwaingizia kwenye uongozi wanao wataka wao,
Wangekuwa wanaacha chaguo la wananchi ndo lipite tungekuwa na viongozi wawajibikaji,
Sasa hawa wanao lazimishwa na CCM wapite wanajua wamepitishwa na CCM hawaja chaguliwa na wananchi.
Kwa hiyo wanajua hata wasipo wajibika mfumo utawabeba,
Kifo Cha magufuli.
Ukweli kabisa report za kifo Cha magufuli wananchi wengi hawakurizika, nikiwepo Mimi mwenyewe,
Kama ingeundwa tume huru kuchunguza kifo chake na report ikatolewa kwa usahihi wananchi wengi wangeridhika,
Imagine rais wa nchi anakufa kifo Cha namna ile, Je wananchi tutakuwa salama.?
Kiongozi wa CCM anatamka hadharani mbele ya police kwamba watu wa namna hii wakipotea msiwatafute,
Lakini mpaka leo kiongozi huyo wa CCM hajachukuliwa hatua yoyote,
Hii inadhihirisha watu wote wanao poteaga katika mazingira ya kutatanisha CCM wanao na wanajua kama wapo hai au walifariki, na kama wapo hai wapo Sehemu gani
Mungu tusaidiane
 
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Simiyu Shemsa Seif Mohammed amemshukia Mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Joelson Mpina kuacha siasa za Majitaka na badala yake ajikite kuwatetea wananchi waliomchagua.

Aidha, Mwenyekiti huyo amewataka Wabunge wa Mkoa wa Simiyu kufanya shughuli za kuwaletea maendeleo wananchi ili CCM isipate wakati mgumu kuomba kura kwa wananchi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.

View attachment 2974565

Ameyasema hayo April 25, 2024, kwenye ziara yake ya Tarafa kwa Tarafa iliyofanyika katika Tarafa ya Kanadi, kata ya Langangabilili wilayani Itilima ikiwa ni sehemu ya kukagua na kuimarisha uhai wa Chama kwa akikutana na mabalozi, viongozi wa matawi, mashina pamoja na Madiwani.

Akitolea mfano Jimbo la Kisesa, Mwenyekiti huyo amesema wananchi wanalia kwa sababu wana changamoto nyingi na Mbunge wao (Luhaga Mpina) hajawahi kufika kuwasikiliza badala yake anahangaika na kifo cha Rais Magufuli.

"Badala ya kuhangaika na matatizo ya wananchi, anahangaika na sababu ya kifo cha Rais Magufuli…aliyetuumba ndiye anajua lini na saa ngapi atatuchukua, unasema Mawaziri hawafai, yeye alikuwa Waziri hata salamu kwa wananchi wake alikuwa hawezi kuwasalimia, alitusaidia nini Wanasimiyu alipokuwa Waziri, arudi jimboni akatatue kero za wananchi"

"Wananchi wake wana maboma hayajaisha yanahitaji fedha, wananchi wake wanateseka na Tembo akapambane na waziri wananchi waache kuteseka…asiende kupambana na mipango ya Mwenyezi Mungu anapochukuwa watu wake"

Amesema CCM inapoteuwa Wabunge kwenda Bungeni, ni kwenda kutatua matatizo ya wananchi na kuhakikisha changamoto za wananchi zinatatuliwa huku akisisitiza kuwa Mbunge akishirikiana na Mwenyekiti wa Mkoa kupambania maendeleo ya wananchi yatawafikia haraka sana.

Ameeleza kuwa wana Kisesa wanasikitika sana kuona Mbunge wao akihoji vitu ambavyo hawajamtuma badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga jimbo kwa lengo la kuwatetea wananchi.

"Si uhame Kisesa uende huko ili wananchi wa Kisesa wachague mwingine wa kuwaletea maendeleo…nayasema haya kwa sababu nina uchungu, ulipewa Uwaziri, kipi kizuri ulichokifanya wewe kuanzia kwenye mkoa na wilaya yako husika, ni Mbunge anayeongoza hata kwa kutoshiriki vikao vya Chama, anaongoza hata kutokwenda kusikiliza wananchi wake’’ amesema Shemsa.

Ameongeza kuwa, ‘’kila siku yuko kwenye Magazeti na vyombo vya habari inasikitisha sana…unakwenda kuhoji kifo cha mtu Bungeni inasikitisha sana"

Akitolea mfano wa wabunge wazuri, Shemsa amemtaja Njalu Daud Silanga kuwa mchapakazi na anajituma kwa maslahi ya wana Itilima na anashughulikia maendeleo ya wana Itilima.

Amesema wana Mbunge anayepambana na Mawaziri na viongozi wa serikali kuleta maendeleo ya Jimbo huku akiwasisitiza kuendelea kumwombea ili awaletee maendeleo huku akiongeza kuwa ana Wabunge karibia wote wanasema shida za watu.

MWISHO.

View attachment 2974004View attachment 2974005View attachment 2974006View attachment 2974007View attachment 2974008View attachment 2974009
Kama kweli Kifo cha Magufuli hakina utata, kwa nini nguvu kubwa sana zimeekekezwa ktk kupinga Suala la kufanya uchunguzi juu ya utata wa Kifo hicho?
 
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Simiyu Shemsa Seif Mohammed amemshukia Mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Joelson Mpina kuacha siasa za Majitaka na badala yake ajikite kuwatetea wananchi waliomchagua.

Aidha, Mwenyekiti huyo amewataka Wabunge wa Mkoa wa Simiyu kufanya shughuli za kuwaletea maendeleo wananchi ili CCM isipate wakati mgumu kuomba kura kwa wananchi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.

View attachment 2974565

Ameyasema hayo April 25, 2024, kwenye ziara yake ya Tarafa kwa Tarafa iliyofanyika katika Tarafa ya Kanadi, kata ya Langangabilili wilayani Itilima ikiwa ni sehemu ya kukagua na kuimarisha uhai wa Chama kwa akikutana na mabalozi, viongozi wa matawi, mashina pamoja na Madiwani.

Akitolea mfano Jimbo la Kisesa, Mwenyekiti huyo amesema wananchi wanalia kwa sababu wana changamoto nyingi na Mbunge wao (Luhaga Mpina) hajawahi kufika kuwasikiliza badala yake anahangaika na kifo cha Rais Magufuli.

"Badala ya kuhangaika na matatizo ya wananchi, anahangaika na sababu ya kifo cha Rais Magufuli…aliyetuumba ndiye anajua lini na saa ngapi atatuchukua, unasema Mawaziri hawafai, yeye alikuwa Waziri hata salamu kwa wananchi wake alikuwa hawezi kuwasalimia, alitusaidia nini Wanasimiyu alipokuwa Waziri, arudi jimboni akatatue kero za wananchi"

"Wananchi wake wana maboma hayajaisha yanahitaji fedha, wananchi wake wanateseka na Tembo akapambane na waziri wananchi waache kuteseka…asiende kupambana na mipango ya Mwenyezi Mungu anapochukuwa watu wake"

Amesema CCM inapoteuwa Wabunge kwenda Bungeni, ni kwenda kutatua matatizo ya wananchi na kuhakikisha changamoto za wananchi zinatatuliwa huku akisisitiza kuwa Mbunge akishirikiana na Mwenyekiti wa Mkoa kupambania maendeleo ya wananchi yatawafikia haraka sana.

Ameeleza kuwa wana Kisesa wanasikitika sana kuona Mbunge wao akihoji vitu ambavyo hawajamtuma badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga jimbo kwa lengo la kuwatetea wananchi.

"Si uhame Kisesa uende huko ili wananchi wa Kisesa wachague mwingine wa kuwaletea maendeleo…nayasema haya kwa sababu nina uchungu, ulipewa Uwaziri, kipi kizuri ulichokifanya wewe kuanzia kwenye mkoa na wilaya yako husika, ni Mbunge anayeongoza hata kwa kutoshiriki vikao vya Chama, anaongoza hata kutokwenda kusikiliza wananchi wake’’ amesema Shemsa.

Ameongeza kuwa, ‘’kila siku yuko kwenye Magazeti na vyombo vya habari inasikitisha sana…unakwenda kuhoji kifo cha mtu Bungeni inasikitisha sana"

Akitolea mfano wa wabunge wazuri, Shemsa amemtaja Njalu Daud Silanga kuwa mchapakazi na anajituma kwa maslahi ya wana Itilima na anashughulikia maendeleo ya wana Itilima.

Amesema wana Mbunge anayepambana na Mawaziri na viongozi wa serikali kuleta maendeleo ya Jimbo huku akiwasisitiza kuendelea kumwombea ili awaletee maendeleo huku akiongeza kuwa ana Wabunge karibia wote wanasema shida za watu.

MWISHO.

View attachment 2974004View attachment 2974005View attachment 2974006View attachment 2974007View attachment 2974008View attachment 2974009
Kama kuna Mtu alitegemea la maana toka kwenye kichwa cha huyu Mbumbumbu aliyezawadiwa uenyekiti wa mkoa alijidanganya.
 
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Simiyu Shemsa Seif Mohammed amemshukia Mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Joelson Mpina kuacha siasa za Majitaka na badala yake ajikite kuwatetea wananchi waliomchagua.

Aidha, Mwenyekiti huyo amewataka Wabunge wa Mkoa wa Simiyu kufanya shughuli za kuwaletea maendeleo wananchi ili CCM isipate wakati mgumu kuomba kura kwa wananchi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.

View attachment 2974565

Ameyasema hayo April 25, 2024, kwenye ziara yake ya Tarafa kwa Tarafa iliyofanyika katika Tarafa ya Kanadi, kata ya Langangabilili wilayani Itilima ikiwa ni sehemu ya kukagua na kuimarisha uhai wa Chama kwa akikutana na mabalozi, viongozi wa matawi, mashina pamoja na Madiwani.

Akitolea mfano Jimbo la Kisesa, Mwenyekiti huyo amesema wananchi wanalia kwa sababu wana changamoto nyingi na Mbunge wao (Luhaga Mpina) hajawahi kufika kuwasikiliza badala yake anahangaika na kifo cha Rais Magufuli.

"Badala ya kuhangaika na matatizo ya wananchi, anahangaika na sababu ya kifo cha Rais Magufuli…aliyetuumba ndiye anajua lini na saa ngapi atatuchukua, unasema Mawaziri hawafai, yeye alikuwa Waziri hata salamu kwa wananchi wake alikuwa hawezi kuwasalimia, alitusaidia nini Wanasimiyu alipokuwa Waziri, arudi jimboni akatatue kero za wananchi"

"Wananchi wake wana maboma hayajaisha yanahitaji fedha, wananchi wake wanateseka na Tembo akapambane na waziri wananchi waache kuteseka…asiende kupambana na mipango ya Mwenyezi Mungu anapochukuwa watu wake"

Amesema CCM inapoteuwa Wabunge kwenda Bungeni, ni kwenda kutatua matatizo ya wananchi na kuhakikisha changamoto za wananchi zinatatuliwa huku akisisitiza kuwa Mbunge akishirikiana na Mwenyekiti wa Mkoa kupambania maendeleo ya wananchi yatawafikia haraka sana.

Ameeleza kuwa wana Kisesa wanasikitika sana kuona Mbunge wao akihoji vitu ambavyo hawajamtuma badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga jimbo kwa lengo la kuwatetea wananchi.

"Si uhame Kisesa uende huko ili wananchi wa Kisesa wachague mwingine wa kuwaletea maendeleo…nayasema haya kwa sababu nina uchungu, ulipewa Uwaziri, kipi kizuri ulichokifanya wewe kuanzia kwenye mkoa na wilaya yako husika, ni Mbunge anayeongoza hata kwa kutoshiriki vikao vya Chama, anaongoza hata kutokwenda kusikiliza wananchi wake’’ amesema Shemsa.

Ameongeza kuwa, ‘’kila siku yuko kwenye Magazeti na vyombo vya habari inasikitisha sana…unakwenda kuhoji kifo cha mtu Bungeni inasikitisha sana"

Akitolea mfano wa wabunge wazuri, Shemsa amemtaja Njalu Daud Silanga kuwa mchapakazi na anajituma kwa maslahi ya wana Itilima na anashughulikia maendeleo ya wana Itilima.

Amesema wana Mbunge anayepambana na Mawaziri na viongozi wa serikali kuleta maendeleo ya Jimbo huku akiwasisitiza kuendelea kumwombea ili awaletee maendeleo huku akiongeza kuwa ana Wabunge karibia wote wanasema shida za watu.

MWISHO.

View attachment 2974004View attachment 2974005View attachment 2974006View attachment 2974007View attachment 2974008View attachment 2974009
CHAWA
 
Mpina ajitathimini,kama kweli amelitelekeza jimbo lake kama asemavyo Mwenyekiti wake,basi ubunge wake kupitia CCM utaota mabawa 2025 jina halitarudi.
 
Huyu mama ni bonge la mpumbavu,hebu watuambie kwanza kifo cha mzee Enock aliyekuwa mwenyekiti wa ccm wilaya ya meatu,huyu dada mikono yake imejaa damu pamoja na genge lake la wanyori.
 
Ni Mjinga sijawahi kuona.

Kwa akili kama hiii, naye kwakua ni Mwenyekiti CCM Taifa ,ni mshauri wa Rais 🤣

Wakomonisti WA CHINA wangejaa vilaza kama Hawa wa Tanzania, China Leo angekua bado anatawaliwa na Mjapani.

MPINA Amkomalie Waziri Mara ngapi kuhusu wanyama ? Kuhusu Raia wake kuuwa ?.


MPINA akagawe Pesa ili Raia wamalizie maboma yao??


Kifo Cha Mungu?. Kwan Kuna ajabu mtu kuuwawa?.



Wanawake kama Hawa wajinga wajinga ndio wanadanya Wanawake waonekane hawapaswi kupewa nyadhifa za kiuongozi.
Ujinga ni upi? Medical report imesema ugonjwa wa moyo na mtu alikua anatumia pacemakers miaka yote cha ajabu ni nini akifariki? Au unadhani ni rahisi sana kumuua Rais?.

Uchunguzi ni kama kuna utata ila familia nayo inakubali ni tatizo la moyo sasa nyie wa maporini huko ndio mna taarifa kuliko familia yake? Au kuliko Mabeyo?

Uchunguzi ni issue kama ya Saanane au Lissu maana ni matukio ya kutatanisha, ila mtu mgonjwa wa moyo tokea akiwa chuo hivi pacemaker ikichoka kufanya kazi ni kauwawa? Hata kampeni ilikua wazi JPM ni mgonjwa
 
Hamuwezi Luhaga Mpina, labda kapewa maelekezo kutoka juu akate jina la Mpina. Lakini kwa hoja bado sana.

Wanasema ukiona mbwa ana bweka saana jua mwenye huyo mbwa yuko karibu.
Hamuwez nani? Luhaga Mpina aliangushwa uchaguzi wa NEC mkoa na taifa!! Kama alikua na nguvu kiasi hicho mbona hawakuandamana wajumbe au wasuse uchaguzi?

He's a nobody, ni kama tu shibuda enzi zile anataka fomu ya urais 2010!! Au kelele za membe kuelekea 2020. Hawakua tishio ila walikua overrated na media na wajinga kama nyie.
 
Kama kweli Kifo cha Magufuli hakina utata, kwa nini nguvu kubwa sana zimeekekezwa ktk kupinga Suala la kufanya uchunguzi juu ya utata wa Kifo hicho?
Nguvu kubwa ipi? Unachungazaje kifo chenye conclusive medical report? CDF kakiri, familia imekubali ila mwanasiasa anayetafuta political capital ndio anaigeuza agenda. Cha ajabu kipindi Upinzani wanahoji alipo JPM hawa kina Mpina na sukuma gang wenzake ndio walikua wanafoka kusema ni uzushi!! Cha ajabu baada ya kifo eti ndio wanadai kuna utata!!

Utata ni kifo cha Saanane, Mawazo, shambulio la Lissu n.k ila mgonjwa sugu kufariki mbona ni kawaida tu. Mbona Lowassa kafariki hakuna aliyezusha kauwawa coz tunajua alikua mgonjwa miaka mingi.
 
Mie
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Simiyu Shemsa Seif Mohammed amemshukia Mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Joelson Mpina kuacha siasa za Majitaka na badala yake ajikite kuwatetea wananchi waliomchagua.

Aidha, Mwenyekiti huyo amewataka Wabunge wa Mkoa wa Simiyu kufanya shughuli za kuwaletea maendeleo wananchi ili CCM isipate wakati mgumu kuomba kura kwa wananchi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.

View attachment 2974565

Ameyasema hayo April 25, 2024, kwenye ziara yake ya Tarafa kwa Tarafa iliyofanyika katika Tarafa ya Kanadi, kata ya Langangabilili wilayani Itilima ikiwa ni sehemu ya kukagua na kuimarisha uhai wa Chama kwa akikutana na mabalozi, viongozi wa matawi, mashina pamoja na Madiwani.

Akitolea mfano Jimbo la Kisesa, Mwenyekiti huyo amesema wananchi wanalia kwa sababu wana changamoto nyingi na Mbunge wao (Luhaga Mpina) hajawahi kufika kuwasikiliza badala yake anahangaika na kifo cha Rais Magufuli.

"Badala ya kuhangaika na matatizo ya wananchi, anahangaika na sababu ya kifo cha Rais Magufuli…aliyetuumba ndiye anajua lini na saa ngapi atatuchukua, unasema Mawaziri hawafai, yeye alikuwa Waziri hata salamu kwa wananchi wake alikuwa hawezi kuwasalimia, alitusaidia nini Wanasimiyu alipokuwa Waziri, arudi jimboni akatatue kero za wananchi"

"Wananchi wake wana maboma hayajaisha yanahitaji fedha, wananchi wake wanateseka na Tembo akapambane na waziri wananchi waache kuteseka…asiende kupambana na mipango ya Mwenyezi Mungu anapochukuwa watu wake"

Amesema CCM inapoteuwa Wabunge kwenda Bungeni, ni kwenda kutatua matatizo ya wananchi na kuhakikisha changamoto za wananchi zinatatuliwa huku akisisitiza kuwa Mbunge akishirikiana na Mwenyekiti wa Mkoa kupambania maendeleo ya wananchi yatawafikia haraka sana.

Ameeleza kuwa wana Kisesa wanasikitika sana kuona Mbunge wao akihoji vitu ambavyo hawajamtuma badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga jimbo kwa lengo la kuwatetea wananchi.

"Si uhame Kisesa uende huko ili wananchi wa Kisesa wachague mwingine wa kuwaletea maendeleo…nayasema haya kwa sababu nina uchungu, ulipewa Uwaziri, kipi kizuri ulichokifanya wewe kuanzia kwenye mkoa na wilaya yako husika, ni Mbunge anayeongoza hata kwa kutoshiriki vikao vya Chama, anaongoza hata kutokwenda kusikiliza wananchi wake’’ amesema Shemsa.

Ameongeza kuwa, ‘’kila siku yuko kwenye Magazeti na vyombo vya habari inasikitisha sana…unakwenda kuhoji kifo cha mtu Bungeni inasikitisha sana"

Akitolea mfano wa wabunge wazuri, Shemsa amemtaja Njalu Daud Silanga kuwa mchapakazi na anajituma kwa maslahi ya wana Itilima na anashughulikia maendeleo ya wana Itilima.

Amesema wana Mbunge anayepambana na Mawaziri na viongozi wa serikali kuleta maendeleo ya Jimbo huku akiwasisitiza kuendelea kumwombea ili awaletee maendeleo huku akiongeza kuwa ana Wabunge karibia wote wanasema shida za watu.

MWISHO.

View attachment 2974004View attachment 2974005View attachment 2974006View attachment 2974007View attachment 2974008View attachment 2974009
Moja tu, jamani Mwenyekiti mzuri wajameni!
 
Nguvu kubwa ipi? Unachungazaje kifo chenye conclusive medical report? CDF kakiri, familia imekubali ila mwanasiasa anayetafuta political capital ndio anaigeuza agenda. Cha ajabu kipindi Upinzani wanahoji alipo JPM hawa kina Mpina na sukuma gang wenzake ndio walikua wanafoka kusema ni uzushi!! Cha ajabu baada ya kifo eti ndio wanadai kuna utata!!

Utata ni kifo cha Saanane, Mawazo, shambulio la Lissu n.k ila mgonjwa sugu kufariki mbona ni kawaida tu. Mbona Lowassa kafariki hakuna aliyezusha kauwawa coz tunajua alikua mgonjwa miaka mingi.
Tuweke utani pembeni Mkuu.
Kwani JPM alikupiga kwenye engo ipi?? Au nyie ndie kina Kabendera, Au na wewe ndio Islamist ambao lengo lenu ni kuona Dini yenu ikiwa Ikulu, au ulikua na Cheti feki.

Mkuu punguza chuki kwa mfu, hii dunia wote tutapita. Mara kadhaa hapa JF unashindana sana kutukana JPM kwani wewe ni MUHA kiasi kwamba ubishi uko damuni???? Be calm mkuu usijitoe akili kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom