princeNathan
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 202
- 424
Chuma kile tukiachana na mambo mengineHana UZALENDO. Akipita, utasikia harufu ya RUSHWA.
Chuma kile tukiachana na mambo mengineHana UZALENDO. Akipita, utasikia harufu ya RUSHWA.
Hakuna hata mmoja hapo kwenye orodha yakoSalaam, Shalom!!
Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.
Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,
1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.
2. UZALENDO.
3. UCHAPAKAZI.
4. MAONO/VISION.
Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.
1. KASSIM MAJALIWA
2. PHILIP MPANGO.
3. TUNDU ANTIPAS LISSU.
4. JOSEPHAT GWAJIMA.
Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Karibuni🙏
Tusubiri.Hakuna hata mmoja hapo kwenye orodha yako
Tuna uchaguzi 2025.Uraisi siyo sweet dreams,na kwa mfumo upi wa kuwachagua?
Ukiondoa Mwalimu Nyerere tumekuwa tunapata surprise ya viongozi wakuu,labda Kikwete alipousaka uraisi mara ya pili.
Kwa vyama vya upinzani navyo vinapitia changamoto ya uchanga,mtaji mdogo,na CCM kutokubali upinzani kushiriki siasa za nchi yetu kikamilifu.
Kwa leo hiyo list ulioiweka hapa yawezekana ikawa list tofauti 2025,kwani Mama yetu ndio leading candidate.
List ya 2030 ni mapema mno kubashiri maoni ya wananchi.
Weka vigezo unavyotaka kisha mpime Lissu kivyake. Wenye akili tutachambua hivyo vigezo na tutamchambua Lissu kiuwiano.Lissu yupo hapo kwenye list Kwa sifa tajwa hapo juu,
Nimekuuliza Lissu Hana UZALENDO?
Hana Uthubutu?
Hana Maono?
Hana misimamo isoyumba?
Yote hujajibu.
1. Uchumi zeroSijaona wa kumzia Mama
Uchumi
Elimu
Afya
She is OK and she is doing fine.
Kasimu haaminiki ni mwongomwongo na kigeugeu, ila namba 3 uhakika patanyookaHapo umepatia mmoja tu Kassim Majaliwa.
Hao wengine ni wachumia tumbo tu
Kunani?Naona giza!!
Lissu Ni Mzalendo!!Kwamba Lissu awe dikiteta
Kwa Tundu Lissu hapo umegusa mlemle mkuu. Tawareeee!Salaam, Shalom!!
Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.
Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,
1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.
2. UZALENDO.
3. UCHAPAKAZI.
4. MAONO/VISION.
Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.
1. KASSIM MAJALIWA
2. PHILIP MPANGO.
3. TUNDU ANTIPAS LISSU.
4. JOSEPHAT GWAJIMA.
Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Karibuni🙏
Atavuka kihunzi Cha CDM?Kwa Tundu Lissu hapo umegusa mlemle mkuu. Tawareeee!