Kwenye rangi nyekundu ni mtu na mke wake.
sasa muulizeni M.Timan mke wake sio Mkenya tena ukoo wa Loita toka Ndyamanangi?
Tunaofahamu siasa za wilaya ya Ngorongoro hawa hawatupi shida, hizi ni siasa za maji taka na ni za kikakila zaidi.
na hao wote ni wasaka tonge kwa ajili ya uchaguzi mkuu...
"Nyalandu ni kiongozi mbovu lakini kwa hili namtetea. Nilipata kuandika 'bila kudhibiti NGOs loliondo haitawaliki'. Hii ni taarifa ya ngos za wakenya. Wanasumbua sana. Kinara wabkupost haya ni raia wa kenya aliyeajiriwa wizara ya maliasili na utalii. Tunamjua na anayetaka jina na namba yake...
Waandishi wa habari za kiuchunguzi wa gazeti la Raia Tanzania igeni uandishi wa habari za kiuchunguzi wa waandishi nguli wa gazeti la Jamhuri.
Wapeni wasomaji wenu habari zilizo wazi kuliko kuzunguka MBUYU mkiongozwa na maadili ya taaluma yenu.
Maoni mazuri
Pamoja na kuwa ccm kama taasisi ilitoa maoni yake kwenye tume lakini imeyakana mchana kweupe!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hivyo ccm kuyakataa maoni ya walio wengi ndio wachawi.anayekukana nawe mkane kweupe 2015.
Kidumu chama cha mapinduzi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!kidumu
idumu siasa ya ujamaa na kujitegemea!!!!!!!!!!!!!!!!!!idumu
zidumu milele fikra sahihi za m/kiti wa ccm!!!!!!!!!!!zidumu
ww ndani ya ccm ni nani?ccm ina wenyewe na ww sio miongoni mwao
zzk mpeni madaraka ndani ya ccm badala ya...
Kuna vyama vya siasa zaidi ya 18 kwa nn kila siku issue hapa ni chadema?
Ulitaka ITV nayo iwe biased kama TBC na Clouds TV?
Acha kuwa kanyanya wa fani.
I am writing to you in reference to the above subject matter only.
Acha michepuko tujadili mada ya Yeriko Nyerere.
Kama unataka ya ukamanda iandikie bango kitita
Mimi najiuliza tangu Operation tokomeza imelalamikiwa ni kwa nn mh.rais imemchukua muda mrefu kuunda tume ya uchunguzi ya ki-jaji hadi leo ilhali waliopoteza maisha ni binadamu?
Ni vizuri tume hiyo ikawa huru na kuonekana ni huru kweli.
Ripoti,madudu na wahusika wa Operation hiyo yatawekwa...
Mimi najiuliza tangu Operation tokomeza imelalamikiwa ni kwa nn mh.rais imemchukua muda mrefu kuunda tume ya uchunguzi ya ki-jaji hadi leo ilhali waliopoteza maisha ni binadamu?
Ni vizuri tume hiyo ikawa huru na kuonekana ni huru kweli.
Ripoti,madudu na wahusika wa Operation hiyo yatawekwa...
Kama ni kweli mradi umekamilika hizo ni kodi za watanzania.
Rangi ya tank ina changamoto gani kwako?
Kama ni kweli wewe Ulitaka wapake rangi gani?
Uzi wako umechoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.