manning
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 5,061
- 11,842
Lema katimiza zake za kuuza Ambulance ya Wagonjwa
Kumbe huyu ndiye amepewa komputa ya mchina..!!!
Lema katimiza zake za kuuza Ambulance ya Wagonjwa
Viongozi wa ngazi za juu serikalini wametakiwa kushirikiana na waasis wa vyama hasa mabalozi wa vitongoji kutokana na wao kuwatambua wananchi wao kwa kiwango kikubwa hivyo kuweza kukuza chama na kupunguza uhalifu.
Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha wakati wa ziara ya chama cha mapinduzi kutembelea wilaya na kata kwa Wajumbe, Makatibu, Wenyeviti, Waasis wa vyama pamoja na Mabalozi kwa lengo la kujadili muongozo wa chama na changamoto zinazokumba baadhi ya kata. Mwenyekiti huyo ametembelea baadhi ya kata katika mkoa wa Arusha.
CCM OYEEEE......
Tatizo la kukosa hoja, matusi ya nini si unyamaze?
Eh upepo unapimwa kwa wind vane?nini tofauti ya uelekeo wa upepo na kasi ya upepo?Nini tofauti ya wind vane na anemometer?mbona ni jeografia ya kidato cha kwanza kwa enzi zetu cku izi itakuwa darasa la nne.sina wind vane
mkuu hawa jamaa wa bavicha waliahidiwa viwanda vya gongo, kwahiyo wamelewa kabla havijaja!
Yani hata sijui ni kwanini!!! Mtu akitaja ccm tu kichwa kinaniuma na kisha nahisi kichefuchefu, I am serious!
imarisheni chama ila kama hamtamteua prof. anna tibaijuka kupeperusha bendera ya ccm 2015 ukawa tutawapiga bao tu. prof. huyu anna tibaijuka hana upinzani. yani yupo fit sanaViongozi wa ngazi za juu serikalini wametakiwa kushirikiana na waasis wa vyama hasa mabalozi wa vitongoji kutokana na wao kuwatambua wananchi wao kwa kiwango kikubwa hivyo kuweza kukuza chama na kupunguza uhalifu.
Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha wakati wa ziara ya chama cha mapinduzi kutembelea wilaya na kata kwa Wajumbe, Makatibu, Wenyeviti, Waasis wa vyama pamoja na Mabalozi kwa lengo la kujadili muongozo wa chama na changamoto zinazokumba baadhi ya kata. Mwenyekiti huyo ametembelea baadhi ya kata katika mkoa wa Arusha.
CCM OYEEEE......
kweli haipo ila akiteuliwa prof. anna tibaijuka atatusumbua sana arusha kwa tiket ya ccm....
.....ccm haipo Arusha !!!