JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 499
Sifa ya kwanza kujiunga na ccm lazima ziwe hazikutoshi na lazima uwe na umimi na sio usisi. Unadhani mtu mwenye akili timamu anaweza kuitetea ccm ndani ya miaka 51 hii? Ndio maana hata viongozi wake wote 79.9% wana kale ka ugonjwa ka kusahau leo anasema hivi kesho mlininukuu vibaya ilimradi siku zisonge.
Iko siku watalazimisha poo
Iko siku watalazimisha poo
kutakuwa na kitu huko.leo lazima wakitaje