Mimi tangu juzi nimetuma pesa kupitia mpesa kwenda TCU na sms ya uthibitisho kutoka Vodacom ikaja kuwa ile pesa imeeenda TCU lakini sijatumiwa voucher number hadi leo kutoka TCU.
Nnimewapigia vodacom wanasema wao pesa washatuma kwenda tcu ko wakanipa namba za TCU ili niwapigie TCU lakin ile...
mi nimelipia sh 30000 kwa mpesa kwenda HESLB tangu juma tatu, voda wakanitumia ile sms ya uthibitisho ambayo ina ID transaction lakin paka leo hii nikiingiza izo ID transaction kwene OLAS ili niapply wananiambia kwamba invalid transaction wakati nimeshalipia, nikawapigia voda kuwaeleza tatizo...
JAMAN MI KUNA DOGO YUPO UDOM ANASOMA BACHELOR OF BUSNESSS ADMINISTRATION UKIMULIZA KAMA ANA MKOPO AU HANA ANASEMA ANA MKOPO LAKIN UKIANGALIA KWENYE SYSTEM YA KUJUA KAMA UNA MKOPO AU HUNA(LOAN ALLOCATION ) WANASEMA IVI
The student with Index number 'S3623.0128.2011' did not secure a higher...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.