Recent content by richard77

  1. richard77

    Naomba tofauti kati ya MP3 VS MP4

    Naombeni tofauti ya MP3 na MP4 unapotaka kudownload nyimbo kwenye simu ipi ni bora? Na kwanini?
  2. richard77

    Kuunganishiwa separate mita ya umeme nyumba za kupanga

    nenda posta kisutu pale kuna duka kubwa la vifaa vya umeme tronic utazipata, 200K
  3. richard77

    Mtaji wa milioni 3 unatosha kufungua duka la dawa?

    Hiyo namba moja, unaweza ambiwa onesha shamba lako
  4. richard77

    Natafuta kazi kiwandani

    sayona
  5. richard77

    Moja ya kinywaji laini (soft drinks) kinachopendwa Bongo Pepsi inaongoza

    Iko hivii, kwanini pepsi inapendwa sana siku hizi kuliko vinywaji vingine vya cocacola kama zamani zilivyokua zinapendwa. Tatizo lilianzia kwenye bei, kuna kipindi soda za coca zilipandisha bei mpaka miasita 600, na pepsi pia,,, lakini pepsi akaona fursa kwa watu baada ya kuona hawakupendezwa na...
  6. richard77

    Natafuta kazi kiwandani

    nilifanya kazi kiwandani kama kibarua ili nipate connection ya kufika juu nipeleke makaratasi yangu ili iwe rahisi kupewa kwa sababu nimeanza chini na ni mfanyakazi wao, mamaee nilisota miezi 6, bila mafanikio, kazi ngumu hatari, ukilala siku moja hela huna, unajitahidi ufanye kazi hadi overtime...
  7. richard77

    Natafuta kazi kiwandani

    nilifanya kazi kiwandani kama kibarua ili nipate connection ya kufika juu nipeleke makaratasi yangu ili iwe rahisi kupewa kwa sababu nimeanza chini na ni mfanyakazi wao, mamaee nilisota miezi 6, bila mafanikio, kazi ngumu hatari, ukilala siku moja hela huna, unajitahidi ufanye kazi hadi overtime...
  8. richard77

    Hivi atakuja tokea mwanamuziki zama hizi wa RnB kama Celine Dion

    eti kundi[emoji23]humu kuna watoto hawajui mziki, ila wanajitutumua kujifanya nao wakongwe[emoji23][emoji23]
  9. richard77

    Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

    Malizia hadithi hiyo
Back
Top Bottom