Acha mihemko uchwara wewe...yeye aliposema hawatakubali ushindi wao kuhojiwa alikua na maana gani?
Yeye mbona Haiti tume kumkemea ngonjera zake za kipuuzi ila kaona upinzani tu??
Tulieni mnyolewe.....!
Huenda anaumwa ugonjwa wa kusahau...hata boss wao alisema katika wooote 38 waliotaka uraisi kiafya aliona bora Padlock.
So huyu kijana hatumshangai sana.
Makamba bana, kwa kujitekenya na kujichekesha mwenyewe hajambo. Yani uandike na kusema mwenyewe kutokubali kwenu matokeo halafu ukaite media na kuomba tume kuwaonya upinzani eti wanapotosha umma kutokukubali matokeo....very low of u!!!!!!
Eish!.....U can't do same things and expect different results! The QN should not be how ccm does it whether old or new fashioned, but how new generation does it!
Be patient, u will soon find out!
Tatizo letu Watanzania haliko kwa watawala wachache wasiojielewa, Bali liko kwa wanaojielewa wengi ambao wameamua kunyamaza na kuridhika na upuuzi kwa mwanvuli wa "safety" so tusilaumu tunapopitia.
Ukichagua hivyo, tegemea kuishi hivyo.
Tumia akili yako ipasavyo acha mihemko, mkuu wa nchi unamsema muhalifu jukwaani ulishindwa nini kumswaga ndani? Huoni unajidhalilisha?
Kwa akili hizi mtatawaliwa hadi mwisho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.