Wanaokesha kwa ajili ya ukombozi wa Taifa, Karibuni Hapa

Niko macho. Kituo kiko mbali kidogo. Ninasubiri muda wa kuchinja majambazi. Viva Lowassa.
 
Nimekutana na gari la serikali linafaulisha masanduku ya kura tena yaliyokwisha pigwa kasulu,yaani sijui vijana wa ukawa wamelala huku au nn,imeniuma sana ila naomba Mungu awaaibishe licha ya mipango yote ya sisimu kuiba kura kwa lowasa kushinda
 
Dah niko kituoni naelekea kumkata mzee El hali nu shwari me ndo niko mlangoni ni mtu wa kwanza kwenye kituo kura yangu nampa Magufuli na Mbunge wa CCM na Diwani Wa CCM
 
Kila la kheri makamanda, natamani baada ya kuntoa mkoloni mweusi liandaliwe bonge la party kwa wanabadiliko wote wa jf kupongezana, ukombozi si mchezo.
 
Wanaojiita wakombozi wa wakati taifa lilishakombolewa miaka mingi ni MALOFA - Mkapa's voice
 
Nimekutana na gari la serikali linafaulisha masanduku ya kura tena yaliyokwisha pigwa kasulu,yaani sijui vijana wa ukawa wamelala huku au nn,imeniuma sana ila naomba Mungu awaaibishe licha ya mipango yote ya sisimu kuiba kura kwa lowasa kushinda

Umejuaje zimeshapikwa mkuu? Picha plz
 
jambo jema kwangu ni almost wasimamiz wotekatan ni watumish wenzangu ambao ni makamanda hatar! wameniakikishia kuwa hakuna bao la mkono katka vituo vyao litakalofungwa
 
Wakubwa mwanza mvua ya radi muda huu na usingizi umekata mazima...
 
Huku jimbo la ubungo hali ni shwari. hata mmbu hatuwaamini. ili kuhakikisha hawa fisiem hawapumulii njia ya kawaida. ameshindwa shetani ccm
 
Back
Top Bottom