Kwa mfano Mimi ni mmliliki wa hiyo bar halafu hao machangu wanakuja kama wateja wengine wanaagiza vinywaji baadae wakipata wateja wanaondoka na ikumbukwe hawana alama kuwa wanajiuza na makubaliano yao uongoz wa bar haujui sasa hapo kosa la kufunga bar ni nini!?
Kumbe ukisoma hata kidogo raha sio kila unachofikiria bas kinafaa kuandikwa vingine unasababisha watu kuwa na wasi wasi kama sio juu yako bas elimu yako. Over
Kiukweli inauma sana kuna baadhi ya wasichana ukimfukuzia analeta malingo sana anakuzungusha duuuh kma unavihela ndio atakuchana weee tena anakuja na rafiki zake sasa cku ya faragha unakuta hakuna kitu ukifikiria na gharama zako haina namna ndio ivo tena ingawa sio uamuz mzuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.