kwa nini akatae...ulishawahi pesa inakataa nyenzake????Hivi atakubali kweli huyo mama
kwa nini akatae...ulishawahi pesa inakataa nyenzake????Hivi atakubali kweli huyo mama
ACHA UNAFIKI,NI WANGAPI WAME
Sasa Hillary aliiachaje marekani kimaendeleo na salama kaiachaje??? nani ana moral authority hapo??
Kabla ya kujiuliza Hillary Clinton aliiacha wapi Marekani ulipaswa ujiulize kwani Kwani Hillary Clinton aliikuta wapi?
Usipolijua hilo hutaweza kuelewa tofauti ya mafanikio ya kiongozi wa Marekani ukilinganisha na wa Tanzania.
Wewe kama mtu amewahi kutamka kwa kinywa chake mwenyewe ni jinsi gani anavyofurahia kuwa raisi na kutumia executive order anavyotaka kadri katiba inavyo mruhusu.Nabii Suleiman hakuomba utajiri, ila aliomba BUSARA na HEKIMA, ingawa katiba haikatazi lakini hekima katika uteuzi huu iko wapi?
Mungu inusuru tzAisee!!!Kazi tunayo Tanzania.
Unalipuka kama hazimo. Mimi na viroba wapi na wapi!Wewe unauza viroba wanakuhusu nini hao mawaziri?
NDO HIZO ZIMEANZADah ajira sijui zitatoka lini
Kwani wewe ni nani na wanaokunywa viroba ni nani?Unalipuka kama hazimo. Mimi na viroba wapi na wapi!
Kwa mbali kama nakuelewa hiviwizara ya nape
Umeandika, "unauza viroba" kana kwamba unanifaamu!!Kwani wewe ni nani na wanaokunywa viroba ni nani?
Kwani mnataka kusema hakuna PhD za ualimu!!?Bado ya Dr Bana