Watanzania tuache kujipendekeza na kuwatukuza wazungu

COARTEM

JF-Expert Member
Nov 26, 2013
3,599
3,647
Kumekuwa na wimbi la baadhi ya Vijana na wazee wa Kitanzania ambao kwao mzungu wanamuona ndiyo mwokozi wa maisha yao.
Utamkuta mtu anashabikia nchi kuwa ombaomba. Utasikia mtu anashabikia nchi wahisani kuinyima misaada Tanzania as if yeye anaishi sayari ya Mars-ya Tz.
Tunahitaji kujitegemea, kufikia lengo hilo kuna maumivu lazima tupitie.
Hebu kuweni na uzalendo na nchi yenu enyi vibaraka wa wazungu.
Kama kuna vitu haviendi sawa, tuikosoe serikali ili ijirekebishe nchi isonge mbele.
 
Kumekuwa na wimbi la baadhi ya Vijana na wazee wa Kitanzania ambao kwao mzungu wanamuona ndiyo mwokozi wa maisha yao.
Utamkuta mtu anashabikia nchi kuwa ombaomba. Utasikia mtu anashabikia nchi wahisani kuinyima misaada Tanzania as if yeye anaishi sayari ya Mars-ya Tz.
Tunahitaji kujitegemea, kufikia lengo hilo kuna maumivu lazima tupitie.
Hebu kuweni na uzalendo na nchi yenu enyi vibaraka wa wazungu.
Kama kuna vitu haviendi sawa, tuikosoe serikali ili ijirekebishe nchi isonge mbele.
Serikali ipi hiyo uikosoe?labda kama unatafuta sababu ya kukaa jela au kufa kabisa.
 
Nadhani huu ndio utakua uzi mbovu zaidi miongoni mwa nyuzi zilizoanzishwa na ztakozo kuja kw mwaka wa 2017" hivi ulifiria vzuri kabla hujaandika lakini?
 
Nadhani huu ndio utakua uzi mbovu zaidi miongoni mwa nyuzi zilizoanzishwa na ztakozo kuja kw mwaka wa 2017" hivi ulifiria vzuri kabla hujaandika lakini?
Umeelewa au umekurupuka kwavile bado unautukuza uzungu?
 
Bado hatujafikia kiwango cha kuwadharau wazungu kwa nyanja yoyote ile.
Hawa jamaa lazima waendelee kutunyoosha mpaka hapo watawala watakapoheshimu matakwa ya Raia wao hasa wakati wa uchaguzi.
 
Nani anatukuza wazungu zaidi ya serikali hii omba omba
Philip Mpango ambaye ni Matonya no 1 kutwa kiguu na njia miji ya wazungu kuwalamba miguu kuomba hela

HATARI;: Wazungu wamemtolea nje sasa anahamia kwa waarabu
 
Katika dunia ya sasa, huwa nchi zinategemeana. Hakuna inayojitegemea yenyewe hata moja. Ni kiburi tu cha hali ya juu kujifanya eti nyie mnajitegemea na hamuwahitaji wazungu! Wao wazungu wanawahitaji sana ninyi muwauzie malighafi zenu na mununue bidhaa kutoka viwanda vyao. Bila ninyi hawaendelei. Ukweli ni kuwa tunawahitaji wengine na tunahitaji misaada kutoka kwao. Tuache kiburi. Tuwe na utawala wa sheria na wa kidemokrasia kama ni hitaji lao ili tushirikiane na tupate misaada na mikopo ambayo kwa kweli tunaihitaji!!
 
Kumekuwa na wimbi la baadhi ya Vijana na wazee wa Kitanzania ambao kwao mzungu wanamuona ndiyo mwokozi wa maisha yao.
Utamkuta mtu anashabikia nchi kuwa ombaomba. Utasikia mtu anashabikia nchi wahisani kuinyima misaada Tanzania as if yeye anaishi sayari ya Mars-ya Tz.
Tunahitaji kujitegemea, kufikia lengo hilo kuna maumivu lazima tupitie.
Hebu kuweni na uzalendo na nchi yenu enyi vibaraka wa wazungu.
Kama kuna vitu haviendi sawa, tuikosoe serikali ili ijirekebishe nchi isonge mbele.
Ulimwona mzungu aliyetoa msaada wa Tsh bilioni 6 za kujenga upya shule ya sekondari ya Ihungo na aliambatana na mtukufu na wote wawili wakaweka jiwe la msingi na mtukufu sio kwamba tu alitoa shukrani kubwa sana kwa mwana mama huyo, bali pia kuomba wazungu waendelee na moyo huo huo. Hadi leo hii hatujaambiwa serikali ya Tz (inayokusanya kodi kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wake) imechangia kiasi gani katika kutengeneza upya miundombinu ya umma! Mtukufu aliendelea kusisitiza wale wasamaria walioahidi michango, wafatiliwe hadi waitoe, wakati iliyotolewa imelambwa na serikali hiyo hiyo.
 
Mtoa post umetumwa nn,hebu ficha ujinga wako,eti kuna maumivu,Acha ukada wa kijinga,,kwa akili zako ss watanzania tutaweza kujitegemea,Crap.
 
Tatizo kubwa la wa afrika ni uongozi,na uongozi bora ni ule wenyekuckiliza mawazo tofauti,ila muafrika badala yakuipokea tofauti ya fikra km ni fursa adhim, yeye anaichukulia km nichangamoto kubwa kwake na yupo tayari kujihami nayo kw njia yoyote ikibidi hata kuuangusha.
 
Umeelewa au umekurupuka kwavile bado unautukuza uzungu?
Hamna jinsi mkuu kwa kupenda au kutopenda hata wewe unawatukuza tu....pc au simu uliyotumia kuweka bandiko lako hapa jf ni kwa hisani yao kama sio wao....malizia mwenyewe...hata nguo na usafiri unaotumia ni kwa hisani yao...kama sio wao....malizia mwenyewe....shule uliosoma maarifa mengi uliyoyapata mpaka ukajiita msomi yanatoka kwako kama sio wao.....malizia mwenyewe...imani yako...wakati mwingine inatufanya tunakosana sisi wenyewe kwa wenyewe inatoka kwao...kama sio wao malizia mwenyewe..na mengine mengi...sasa ndugu yangu tusipojipendekeza itakuwaje...malizia mwenyewe...."if you can not fight with them join them"
 
siku moja tulikuwa na mdahalo wa maendeleo chuoni hapa europe na nikawauliza hao facilitators ambao wanatoka mashirika makubwa ya misaada ya ulaya (wazungu) , niwauliza kwanini nchi zenu za ulaya zinatoa misaada ambayo viongozi wengi wa Afrika wanaitumia kununua mahekalu Paris na kudeposit Swiss na mnajua na mnawaona? je mnatenda haki kwa tax payers wenu kwa pesa yenu kuishia matumbo ya viongozi wa Afrika na mnawaona huku ulaya wakiranda randa 5 stars hotels na convoys zao? wakanijibu hivi: wazungu hawataacha kutoa misaada sababu ni sera yao ya kideplomasia na pia ni kurudisha kidogo kwa mamilioni ya rasilimali wanazovuna Afrika! walinijibu black and white mbele ya mdahalo! kweli Afrika ni bara la giza! siku itapata viongozi bora labda miaka 500 ijayo tutaendelea!

Uliridhika na hilo jibu?
 
Kumekuwa na wimbi la baadhi ya Vijana na wazee wa Kitanzania ambao kwao mzungu wanamuona ndiyo mwokozi wa maisha yao.
Utamkuta mtu anashabikia nchi kuwa ombaomba. Utasikia mtu anashabikia nchi wahisani kuinyima misaada Tanzania as if yeye anaishi sayari ya Mars-ya Tz.
Tunahitaji kujitegemea, kufikia lengo hilo kuna maumivu lazima tupitie.
Hebu kuweni na uzalendo na nchi yenu enyi vibaraka wa wazungu.
Kama kuna vitu haviendi sawa, tuikosoe serikali ili ijirekebishe nchi isonge mbele.
Kumbe ukisoma hata kidogo raha sio kila unachofikiria bas kinafaa kuandikwa vingine unasababisha watu kuwa na wasi wasi kama sio juu yako bas elimu yako. Over
 
Kumekuwa na wimbi la baadhi ya Vijana na wazee wa Kitanzania ambao kwao mzungu wanamuona ndiyo mwokozi wa maisha yao.
Utamkuta mtu anashabikia nchi kuwa ombaomba. Utasikia mtu anashabikia nchi wahisani kuinyima misaada Tanzania as if yeye anaishi sayari ya Mars-ya Tz.
Tunahitaji kujitegemea, kufikia lengo hilo kuna maumivu lazima tupitie.
Hebu kuweni na uzalendo na nchi yenu enyi vibaraka wa wazungu.
Kama kuna vitu haviendi sawa, tuikosoe serikali ili ijirekebishe nchi isonge mbele.

Mnaanza kuleta hadithi hizi za kipuuzi baada ya wazungu kutubania kutokana na ubabe wa kishamba, na sheria za hila? Sema unavyotaka mzungu atabikia bora mara elfu kutokana na tabia zetu za hila, uzandiki, tamaa ya madaraka na roho mbaya.. N a hizo hela mnazoenda kuomba hawatoi mpaka mjirekebishe.
 
Kumekuwa na wimbi la baadhi ya Vijana na wazee wa Kitanzania ambao kwao mzungu wanamuona ndiyo mwokozi wa maisha yao.
Utamkuta mtu anashabikia nchi kuwa ombaomba. Utasikia mtu anashabikia nchi wahisani kuinyima misaada Tanzania as if yeye anaishi sayari ya Mars-ya Tz.
Tunahitaji kujitegemea, kufikia lengo hilo kuna maumivu lazima tupitie.
Hebu kuweni na uzalendo na nchi yenu enyi vibaraka wa wazungu.
Kama kuna vitu haviendi sawa, tuikosoe serikali ili ijirekebishe nchi isonge mbele.
Hivi mtoto akishakuwa mkubwa bado tu amtegemee mzazi wake, kwa mahitaji yake?(nchi imepata uhuru ijitegemee wenyewe lakini kutwa inaomba kama Wagogo.) Mikopo na misaada ndio bajeti za kiafrika, lakini pesa za nchi(umma) huziiba na kuzipeleka kwenye benki za wazungu.


Ndukiiiii
 
mimi nafanya masters ya development , nilielewa kuwa misaada yao ni kwa ajili ya kuendeleza ukoloni wao Afrika, manake hakunaga free lunch na mzungu hakupi kitu bure hata omba omba wanauza kofia za baridi na soksi za mikononi ulaya! YES, niliridhika na majibu yao manake siwezi kubadili minds za viongozi walafi wa kiafrika, ambao wengi wao wana poverty mindset na food insecurity mindset, but only time will do it!nikala bites zao nikatimka zangu kitaa!sikuuliza tena!
Hakika waafrika tuna shida. Kwa sasa tuna viongozi ambao wanasema hawaoni fahari kwenda kuomba kwa wazungu lakini wananchi tunawadhihaki; bado tunatukuza wazungu.

Mkuu afdhali uliondoka ila usingekula bites zao kwa hasira.
 
Kumekuwa na wimbi la baadhi ya Vijana na wazee wa Kitanzania ambao kwao mzungu wanamuona ndiyo mwokozi wa maisha yao.
Utamkuta mtu anashabikia nchi kuwa ombaomba. Utasikia mtu anashabikia nchi wahisani kuinyima misaada Tanzania as if yeye anaishi sayari ya Mars-ya Tz.
Tunahitaji kujitegemea, kufikia lengo hilo kuna maumivu lazima tupitie.
Hebu kuweni na uzalendo na nchi yenu enyi vibaraka wa wazungu.
Kama kuna vitu haviendi sawa, tuikosoe serikali ili ijirekebishe nchi isonge mbele.
It's a great message! Africa ndo bala linaloongoza kwa kutojitambua!
We need black conciousness! Wenzetu Russia, China na hata waarabu kwa kiasi fulani wanaujua ujanja wa mzungu. Wameshikamana wao kwanza
 
Back
Top Bottom