Uoandishaji madaraja lazima afisa utumishi wa sehemu husika aingize data ...kupotea kwa mtandao wa LAWSON meanz hakuna kazi yoyote inayowezwa fanywa na afisa utumishi kwenye ile mfumo
Maafisa utumishi mliopo humu tunaomba mtwambie, sasa ni wiki ya pili mfumo LAWSON haupatikani nchi nzima.
Tatizo ni nini na itarejea lini? Fomu yangu ya mkopo imekwama mezani kwa hii wiki ya pili sasa kisa mfumo!
Karibuni shule za sekondari za mashirika ya umma.kama Chang'ombe sekondari...Kibaha sekondari....Tumbi sekondari...huku hata hao sijui wakufunzi mishahara yao hata kwa anayeanza kazi huku wanasubiri miaka buku
Msimdanganye...utaratibu wa kuomba likizo bila.malipo then ukirudi unaendelea na kazi hakuna tena...ruhusa watakupa lkn siku ukitaka kurudi unaandika barua ya kuomba kibali kwa katibu mkuu kiongozi..na kama nafasi ishajazwa watakupiga chini
Huku kutojua kumewaponza wengi..ndugu acha kujidanganya...taasisi yoyote ya serikali hata zisizotumia LAWSON huwezi ajiriwa mara ya pili na ukapokea mshahara kwa cheki namba mpya...
Ndugu uliyeomba ushauri...kiujumla kuondolewa kwenye payroll ni ishu ndog Ila shuguli pevu inakuwa kwenye...
Huyu wala sio mwalimu bali mganga njaa fulani tu kaamua kutuchekesha...kuna sehemu hapo juu anasema eti yeye mwalimu na basic yake ni 320,000/- sasa basic hiyo then ulipwe 280??...kwahyo makato yooote ya mkopo wako na ile kikokotoo ni buku40??
Unless hajui maana ya basic salary au sio mwalimu...
Umeelezea tu sababu za upande wa Africa lakini pia kwa upande wa nchi za Ulaya unaweza ukapata baadhi ya sababu zao kujibu hilo swali....
Mfano nchi kama Britain na France kutokana na uwezo wao na mahitaji yao waligombania maeneo mengi kuliko akina Portugal na Spain...
Naomba mfanyie kazi post yangu namba 3226...hapo juu...hii mita haijawahi ingia tarrif 4...ilianzia tarrif 1 ndo naomba sasa mnipeleke tarrif 4 maana matumizi yangu almost mwaka sasa ni madogo....mita no 01311281537
Sheria sijui inasemaje lakini tangia mita ilipowekwa ilikuwa ipo tarrif 1..(matumizi makubwa)..tangia mimi nilipohamia hiyo nyumba tarehe 10/11/2016 sijawahi zidi units 65.
kwahyo sio kweli kusema iliwahi kuwekwa tarrif 4 then ikarudishwa tena tarrif 1 kama ulivyonijibu hapo juu.
Namba yangu...
Ahsanteni kwa linki hii...mm malalamiko yangu ni kuona nina zaidi ya mwaka nimehamia nyumba ya serikali ambayo tangu nihamie sijawahi zidi units 65 kwa mwezi lakini mmekataa kunibadilishia kutoka tarrif 1 kunipeleka tarrif 4...ili nkanunue units kwa tsh100/,,.
Niko mkoa wa Pwani Kibaha na...
Wadau nina shilingi laki moja na ninahitaji kitanda cha mbao size hiyo juu..kwa bei hiyo najua kitakuwa used maana kipya sitapata..
Lakini pia nahitaji dressing table kwa maana kuwa kitakachotangulia kipatikana basi kingine sinunui..
Nipo mkoa wa Pwani...Kibaha Picha ya ndege..mawasiliano njoo pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.