Kuna taratibu zinazofahamika ktk swala kama hilo , hapo kuna wanafunzi wenye zamu ya kudeki darasa ndio walitakiwa waazibiwe mwalimu wa zamu alitakiwa atoe maelezo kwa uzembe wa kushindwa kusimamia usafi. Mkurugenzi ama hajui taratibu za kazi au alitumia ubabe
Tatizo la wakuu wa shule wanafanya kaz kwa mazoea, kwa mfano
i. Unakuta mwanafunzi ameacha shule ila rekodi zake zinaonekana ktk daftari la mahudhurio kwa miezi hata 6.
ii. Kila mwezi wanatuma taarifa za utoro sugu bila ya kuonyesha hatua zilizochukuliwa dhidi yao(kisheria mwanafunzi akikaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.