Nenda na kadi ya gari ambayo inaonyesha registration number na chasis number, haswa kitengo cha interpol au kitengo kama hicho cha wizi wa magari. Kisha mkataba wa mauziano mmufanye kisheria mbele ya lawyer. Pia awe na file la particulars za kuingizia gari Nchini linaloonyesha proceedings zote
Mademu zenu wa kisasa hao. Hawatumii maji wanatumia toilet paper na tissue. Hahaha hahah. Hawajui kuoga na kuweka mambo adimu ya udi, wanajua perfumes na choices kwao ni shida. Ukiwa na mwanamke anayeswali kila wakati, hasa hizi sala tano hizi, ah ni wasafi balaa
Kama mathalani ana mzunguko wa siku 40, . Utatoa kinyume, yaani 40-14=26. Hapo ina maana siku ya 26, ndo yai linatarajiwa kuwa litashuka.
Wanaofahamu zaidi watatujuza
Lucas Sabuni. Kwa umri wako (Maana umesema unawajukuu, lazima utakuwa above 40+, ), na kwa hosp ulizopitia, nakushauri usiendelee kupoteza muda. Nenda Muhimbili kitengo cha meno moja kwa moja, ila nakushauri uwe na Bima ya Matibabu, hasa NHIF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.