1. TAMBUA
Kuna app inayoitwa *telegram*, ambayo kuna magroup kama ya whatsapp. Ila magroup ya kule yanao uwezo wa kuingiza members zaidi ya 30,000. Fikiria watu zaidi ya 30,000 muwe ktk grp moja, alafu ww uwe unatafuta wa kubadilishana nae kituo cha kazi. Lazima upate.
2. CHAKUFANYA
(i)Nenda...
Kuna mtu nilimwachia kompyuta yangu aina ya lenovo kwa muda, lakini alikuwa afahamu matumizi vizuri akawa anawasha vizuri lakini kwenye kuzima kompyuta hiyo alikuwa anazima kwa kutumia sehemu ya kuwashia na kuzalisha tatizo lifuatalo:-
kwa sasa kompyuta nikiwasha inawaka lakini aimalizi mpaka...
hiyo 0000 ni security code ya simu kama imekataa maana yake hiyo siyo security code ya simu yako ichunguze security ya simu uliyoweka kama inakugomea jaribu 1234 kwa baadhi ya simu za nokia kifupi 0000 ni security code ya simu yako tafuta kutambua security code ya simu yako kwanza
hiyo 0000 ni security code ya simu kama imekataa maana yake hiyo siyo security code ya simu yako ichunguze security ya simu uliyoweka kama inakugomea jaribu 1234 kwa baadhi ya simu za nokia kifupi 0000 ni security code ya simu yako tafuta kutambua security code ya simu yako kwanza
Habari za muda huu ndugu wadau kompyuta yangu ina tatizo la window inasemekana BIOS ina password ina sababisha kupiga window mara tatu tu. Baada ya hapo inakuwa inashindwa kuwa mpaka nitoe disc nipige kwa kutumia kompyuta nyingine.
Naomba nisaidiwe namna ya ku unlock hiyo ili niweze kubadilisha...
Nimejaribu kupiga window 8 kwenye kompyuta yangu aina ya toshiba lakini niki press f12 inawaka km kawaida nikipress f8 inatoka menu ya advanced boot option nifanyeje maana nimeshindwa kabisa kubadilisha window hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.