Search results

  1. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    1. TAMBUA Kuna app inayoitwa *telegram*, ambayo kuna magroup kama ya whatsapp. Ila magroup ya kule yanao uwezo wa kuingiza members zaidi ya 30,000. Fikiria watu zaidi ya 30,000 muwe ktk grp moja, alafu ww uwe unatafuta wa kubadilishana nae kituo cha kazi. Lazima upate. 2. CHAKUFANYA (i)Nenda...
  2. N

    Msaada katika kompyuta

    nili install upya na nikaformat partition
  3. N

    Msaada katika kompyuta

    nielekeze namna ya kucheki
  4. N

    Msaada katika kompyuta

    nimebadili window bado hilo tatizo lipo
  5. N

    Msaada katika kompyuta

    Kuna mtu nilimwachia kompyuta yangu aina ya lenovo kwa muda, lakini alikuwa afahamu matumizi vizuri akawa anawasha vizuri lakini kwenye kuzima kompyuta hiyo alikuwa anazima kwa kutumia sehemu ya kuwashia na kuzalisha tatizo lifuatalo:- kwa sasa kompyuta nikiwasha inawaka lakini aimalizi mpaka...
  6. N

    Jinsi ya kum block mtu asikupate kwenye mitandao ya simu

    hiyo 0000 ni security code ya simu kama imekataa maana yake hiyo siyo security code ya simu yako ichunguze security ya simu uliyoweka kama inakugomea jaribu 1234 kwa baadhi ya simu za nokia kifupi 0000 ni security code ya simu yako tafuta kutambua security code ya simu yako kwanza
  7. N

    Jinsi ya kum block mtu asikupate kwenye mitandao ya simu

    hiyo 0000 ni security code ya simu kama imekataa maana yake hiyo siyo security code ya simu yako ichunguze security ya simu uliyoweka kama inakugomea jaribu 1234 kwa baadhi ya simu za nokia kifupi 0000 ni security code ya simu yako tafuta kutambua security code ya simu yako kwanza
  8. N

    Kompyuta yangu ina tatizo la window

    usiongee kwa sababu unajisikia kompyuta ilinunuliwa nikampa dogo aende nayo chuo akafanya kama akaja ikiwa na bios password
  9. N

    Kompyuta yangu ina tatizo la window

    mimi mwenyewe nimejaribu kutoa bios password imegoma MIMI
  10. N

    Kompyuta yangu ina tatizo la window

    hp probook 6470b
  11. N

    Kompyuta yangu ina tatizo la window

    Habari za muda huu ndugu wadau kompyuta yangu ina tatizo la window inasemekana BIOS ina password ina sababisha kupiga window mara tatu tu. Baada ya hapo inakuwa inashindwa kuwa mpaka nitoe disc nipige kwa kutumia kompyuta nyingine. Naomba nisaidiwe namna ya ku unlock hiyo ili niweze kubadilisha...
  12. N

    nimekwama kwenye windows 8 msaada tafahali!!

    Nimejaribu kupiga window 8 kwenye kompyuta yangu aina ya toshiba lakini niki press f12 inawaka km kawaida nikipress f8 inatoka menu ya advanced boot option nifanyeje maana nimeshindwa kabisa kubadilisha window hiyo
  13. N

    Swali naomba majibu

    Naona kama ujaelewa swali,ni hivi si kiwanja cha ndege kuwa mjini bali ni hivi kwa nini vinajegwa karibu na mabwawa au ziwa au bahari
  14. N

    Swali naomba majibu

    Kwanini viwanja vingi vya ndege hujengwa karibu na uso wa maji au mara nyingi karibu na kiwanja cha ndege kuna kuwa na bwawa au ziwa mfano uwanja wa mwalimu nyerere upo karibu na bahari na viwanja vya ndege vingine
  15. N

    Umoja wa mataifa

    Mbona nimepata tetesi kuwa mwenyekiti wa umoja huu ni rais wa Marekani ila inaonyesha kuna siri fulani hivi.
  16. N

    Umoja wa mataifa

    Kwenye baraza la umoja wa mataifa tuna kuwa kuna katibu mkuu wa umoja huo. Je mwenyekiti wa umoja wa mataifa ni nani. Kama huyo ni katibu ina maana kuna mwenyekiti wake.
  17. N

    Msaada katika hili jamani plz

    Navyofahamu mimi wanahuhita mgogo.je,ukiangalia vizuri uoni dalili za usaha kwenye kinyesi
Back
Top Bottom