Niko zangu home week ya tatu hii baada ya kuchukua likizo ,huwa napenda kujipumzisha home na family yangu ijapo kuwa hela ya kununua kisimbuzi imekua nongwa,sasa mara nyingi naangalia izi free channel ZBC ikiwa moja wapo jambo moja nimeliona sijawahi kuona nyimbo za gospel wala ibada hasa siku...
Yani mtu siyo mtumishi wa umma na hana chochote kile serikalini lakini anatembea na msafara wa magari ya serikali na watu wamekaa kimya tuu.
Kwa nguvu alionayo uyu bwana nahisi anaweza kwenda Lugalo pale akachukua kifaru halafu akaingia nayo road and nobody can question him, upi mpaka kati ya...
Wengi mli opposite na mtoa mada naona wengi mnazungumzia mazingira tuu ya shule za gavoo kuwa mabaya lakin mmeshindwa kueleza ubora wa elimu wa shule hizi za private !je ubora wa elimu ya private uko tofauti na huu wa hawa wanachuo wanaotembea na vyeti barabarani wakilalamika ajira? Je elimu...
Kipofo yeye kwenye u mwili hana macho lakin kwenye spirit realms kipofu yeye ana macho kabisa Kwa mfano ni ivi wakati sisi tunaota huwa hatuoni image zetu au reflection za sura zetu tunachoota ni nafsi zetu ndio huwa zinapitia maisha ya ndotoni?swali je wewe ushawahi kuota sura yako kwenye ndoto...
Wewe si unaleta nadharia zako za kwenye vitabu ,but ushawahi kufanya kila kitu Kwa usahihi na usione matunda,mimi kuna kipindi nilihisi kwenye biashara yangu labda watu wanaona giza tuu unafunga ofisi saa mbili asubuhi na kufunga saa tano hakuna prospect wala mteja aliyeingia dukani
Mziki wa biashara uingie mwenyewe uuone ndio utajua ya kwamba hawa waliofanikiwa kwenye biashara walitumia njia gani it’s not easy possibility ya kuanguka kwenye biashara ni kubwa mnoo kuliko kufanikiwa,mimi na MBA but nahisi ni mweupe kabisa kwenye biashara za uku mtaani
Na kitu kingine watu wengi biashara tunaanzisha Kwa mawazo yetu kichwani sasa na hii mitaji midogo downfall zikitokea biashara inakua kwenye risk ya kufilisika lakini ukiwa na familia ya watu wafanya biashara ni ngumu kupitia kwenye mashimo sababu waliotangulia washajua michoro yote ya biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.