Hii Ni dunia huru ya kibepari. Yaani hao jamaa wamekuwa wa kufunguliwa mabucha Kama Mia na Bei iwe 5k kwa kilo.
Kila mtu huwa anapenda ubabe ili awe mtawala.
Mfano wanasiasa wanatumia nyumbu wenzetu kuwalinda wao ili watunyonye wote na viongozi wa dini wanatumia uwoga wa wanadamu na kifo...
Hapa ukikolezwa kuzidi hapo, tayari unaye familia na hela miradi unayo na labda tayari watoto wanajitegemea ,ukichanganya kuwa huwa anakufanyia mabaya ama anakuletea kero. Am sure huyo anayekukoleza akikuambia kuwa mie bana nahitaji nijiachie na wewe sitaki kumuona mmeo.
Kama yule wa deepond...
Duu naomba nisiongee kitu Mana mitizamo yetu iko tofauti. Ila nashukuru kwa ushauri wako pia. Barikiwa nawewe nakuombea mazuri Kama ndio ndoto zako zitimie
Kiukweli nimefurahi mno Mana watoto walikosa protein jamani,ilikuwa wanakunywa uji wanalala. Hata kibarua Cha nguvu smt kinakosa ujue.
Mnabakia mnashindia uji Tena nafaka Ni mahindi. Ina pain mno so hata mental development yao inakuwa sio nzuri.
Habarini wanajukwaa!
Poleni na majukumu ya kulijenga Taifa letu pendwa Tanzania. Kuna muda nilileta ama nilikuja hapa kuomba Msaada kwa mtu anayeweza kunisaidia kwa namna yoyote nipate kazi mkono uende kinywani.
Nashukuru Kuna member mmoja alinisaidia na leo ndio siku nimepata malipo/mshahara...
Unabishia msuri bana acha ubishi. Sijakataa Kama mke Ila Kama demu wa kula kistarehe tu utakutana na demu fulani anao msururu mwanza mpaka Dar mkuu mwingine hata kuwajaza kwenye bajaji Ni ishu.
Mbona Kama unataka ubishi. Sijakataa mke kweli kila mtu Ana uzuri wake Ila linapokuja demu wa kula...
Naona unataka ubishane na nature mkuu. Hebu bishana why objects are attracted towards Earth's center.
Bishana why tunazaliwa na kufa ama why magnet inavuta chuma. So unafunga vioo kuwa hakuna watu wenye maumbo ama muonekano wa kuvutia watu.
Sema nakuona umeshaamua kubishana ama kukataa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.