"Kwa muda mrefu mke alikuwa akidhani kuwa mumewe anamsaliti kwa kutoka kimapenzi na (house girl/ maid) mfanyanyakazi wao wa kazi za ndani.
Hivyo, akapanga kufanya mtego ili aweze kufanya fumanizi. Sasa alichokifanya siku hiyo akamrudisha house girl wao kijijini, arafu yeye akaenda kulala...
Dear men,
Unapokutana na mwanamke na ukatokea kumpenda, tenga muda wa kumfahamu vizuri ujue size yake.
Muhimu kufahamu vitu anavyopenda na gharama zake. Mfano: mavazi, mitindo ya nywele na mambo mengine kadha wa kadha.
Muhimu sana kuwa makini na mazungumzo yake. Lugha yake kama ni ya staha au...
Watu huwa wanazaa kwanza kabla ya kufunga ndoa. Hata
Nzuri Sana hii mkuu,ila Kuna sehemu umeniacha mtuhumiwa miaka miwili ya ndoa na wiki mbili aliwezaje kuwa na watoto wanne?
Citation inaonesha kesi ya Rufani, Agnes alikata rufaa
Mahusiano mazuri au ndoa imara inategemea na aina ya mtu uliyenae katika mahusiano au ndoa husika.
Naomba niwape siri moja ambayo pengine dada yangu umekuwa ukiichukulia kawaida na kuendelea kuwaita wanaume wote mbwa kumbe kosa ni lako mwenyewe.
Na kaka yangu pengine na wewe umeendelea...
MGAWANYO WA MALI ZA FAMILIA BAADA YA MUME NA MKE KUACHANA.
SEHEMU YA 3
Mgawanyo wa mali kwa wanandoa sio lazima uwe 50%/50%. Kila mtu anastahili kupata kile kilicho haki yake kupata.
Mwanandoa anapaswa kufahamu kwamba,
•Mchango hasi katika ustawi wa familia, matumizi mabaya ya fedha za...
MGAWANYO WA MALI ZA FAMILIA BAADA YA MUME NA MKE KUACHANA.
SEHEMU YA 2
Mgawanyo wa mali za familia baada ya mume na mke kuachana unapaswa ufanyike kwa kuzingatia haki, ili kila mmoja apate kile anachostahili bila upendeleo.
Katika kupima mchango au jitihada za mume au mke juu ya upatikanaji...
MGAWANYO WA MALI ZA FAMILIA BAADA YA MUME NA MKE KUACHANA.
SEHEMU YA 1
Kumekuwa na maswali mengi kuhusu mgawanyo wa mali za familia kwa wanandoa baada ya kuachana. Makala hii inajibu maswali yako unayojiuliza kila siku bila kupata majibu sahihi.
Hii inahusu watu wote, wale waliofunga ndoa...
Sehemu Ya III
Hali ilikuwa mbaya sana. Nilikimbizwa hospitali nikiwa hoi bin taabani. Mke wangu alilia sana alijua kuwa sitaweza kupona.
Kutokana na hali yangu, Daktari aliyekuwa akinipatia huduma alishauri nipimwe vipimo vyote ikiwemo vipimo vya HIV na hapo nilikubali.
Sikuwa na hofu kabisa...
SIKU 470 NIKIWA NA HOFU YA KUAMBUKIZWA VIRUSI VYA UKIMWI.
Sehemu Ya II
Nikiwa nimekata tamaa ya kuishi kutokana na hofu ya kuambukizwa virusi vya UKIMWI, Nusrat alikuwa akinifariji kama sio yeye yule ambaye majibu yake yalikuwa ni HIV positive.
Sikutaka kuendelea kumsikiliza, niliamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.