maoni ya kila mwanadamu yamejaa mabadiliko ya dhati pale anapopakusudia.rejea mwaka 2005 uchaguz mapdri na makanisa yote wakasema kikwete ni chaguo la mungu akashnda.akaongoza walivyomuona kafuta ubaloz wa vatican tanzania na kuzuia pesa za msaada kwa makanisa wakamuona hafai.mwaka 2011...
inafahamika nchi hii akitawala mwislamu meneno ya kejeli matusi yatamwandama.mfano alitawa mwinyi nyerere akamwambia nchi inaongozwa na mawaz ya mwanamke.leo kikwete mnam2kana.kwa mkapa mlinyamaza.achen udin na uchaguz wa 2010 ulijaa udini 2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.