Mkuu salam nyingi na baraka tele kwako huko uliko, hebu weka album/CD ya MVUA YA MAWE, MT. MONIKA SINZA naipenda Ila nlipoteza CD take enzi hizo hakuna computer, natanguliza SHUKRAN NYINGI
With due respect RUBANI SHEBBYDO, I SALUTE YOU, UMENIGUSA MPAKA INNERMOST PART OF MY HEART N SOUL, OMBI LANGU NI UTUWEKEE SKETCH YA NDEGE-ANY MODEL IKIONESHA HIZO FLAPS, VERTICAL, HORIZONTAL STABILIZERS, AIR SPEED SENSORS, KWA UJUMLA SEHEMU ZA NJE ZA NDEGE TUNAZOZIONA ILI NIKIWA KARIBU NA NDEGE...
Wale mnaolalamika hamko karibu na TV jamani nenda kwenye play store etc etc pakua app ya ITV Tanzania uangalie live isidingo kupitia simu yakoo. Mubasharaaa mi nafanyaga hivyo nkichelewa kwa tv
Wanajua majamboz alafu wana true love, pia hata mkilala njaa hawasemiii kwa kitaa, wana kitu kinaitwa "economize" na sio misery kama wengi wanavyowatania
@ akazuba ..in short kiwanja cha namna hiyo ni kidogo tunaita non instrument...
Hebu malizia hiyo non instrument..... Imekatikia au ile picha imekuwa super imposed kwenye maandishi ya mwisho. Nimeendelea kuelimika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.