Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,100
Abiria wote kuvaa barakoa wakati wote wa safari katika kipindi hiki cha COVID-19
Barakoa zote ziko sawaBarakoa za kushona au zile nyingine?
Itakuwa ilikuwa inapima kama kuna coronaLeo asubuhi bombardier ilikuwa inazunguka angani hapa Dodoma muda mrefu haitui, kulikoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Zile korosho zetu na kahawa itakuwaje sasaAbiria wote kuvaa barakoa wakati wote wa safari katika kipindi hiki cha COVID-19