Hapo ndg mchangiaji mada hii umejichanganya sana kwani makato ya mifuko ya jamii kila mfanyakazi anakuwa na namba ya utambulisho.Kwani nao TRA isitumie mfumo huo huo kama mifuko ya jamii?????????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.