TANESCO, mgao huu una sababu gani tena?

Bado tu hamjajua sababu ya kuitwa malofa na mzee Mkapa? Kweli mijitu mingine bado tumelala huku tunalilia umeme. Mtamkumbuka Muhongo
 
Arusha imekuwa ni kawaida sasa, wanasubiri oct 25.

kwa sababu Arusha ni kitovu cha mabadiliko hauna maji wiki ya tatu (3) sasa, na hakuna Umeme maeneo mengi ya mkoa huu. mfn. jana wamerudisha umeme saa tano za usiku na kuukata sa tisa usiku huo huo.

Wananchi wamepeleka malalamiko ya kukosa huduma muhimu kama maji, shirika (AUWSA) Badala ya kutuma wataalam wao wametuma wasoma mita!
 
Kwa ufupi,nimewauliza baadhi ya wanafanyakazi wa Tanesco kuhusiana na hii issue wakaniambia huko kuwashwa kwa mitambo,mara matengenezo ni sababu tu ya kudanganya wananchi.Shirika lipo ktk hali ngumu kifedha kujiendesha kutokana na CCM kuchota pesa kwa ajili ya kampeni zake zinazoendelea kwa sasa.

Nako NSSF mambo ni hayo hayo tu!
 
[FONT=Calibri,Arial,Helvetica,sans-serif][FONT=Calibri,sans-serif]kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya gesi ambayo ilisababisha upungufu wa umeme kwenye mikoa yote iliuongwa kwenye gridi ya taifa. Baada ya kuanza kuwasha mitambo hiyo Septemba 19, 2015 upungufu huo umeanza kuimarika kwa baadhi ya mikoa. Mitambo yote ya gesi iliyokuwa imezimwa haiwezi kuwashwa mara moja kwa kuwa kitaalam itafyonza gesi haraka na kuleta vacuum kwenye bomba lenyewe. Kumbuka bomba hili ni kubwa la nchi 36 na urefu wa kilometa 487. Hivyo Tanesco tunawasha mtambo mmoja baada ya mwingine ili kumonitor presha ya gesi kwenye bomba. Kazi hii itakamilika mwishoni mwa Oktoba ambapo tutakuwa tumewasha mitambo yote jumla ya megawati 335.[/FONT][/FONT]

Acha ukanjanja na Porojo wewe.
 
kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya gesi ambayo ilisababisha upungufu wa umeme kwenye Mikoa yote iliuongwa kwenye gridi ya taifa. Baada ya kuanza kuwasha mitambo hiyo Septemba 19, 2015 upungufu huo umeanza kuimarika kwa baadhi ya mikoa. Mitambo yote ya gesi iliyokuwa imezimwa haiwezi kuwashwa mara moja kwa kuwa kitaalam itafyonza gesi haraka na kuleta vacuum kwenye bomba lenyewe. Kumbuka bomba hili ni kubwa la nchi 36 na urefu wa kilometa 487. Hivyo Tanesco tunawasha mtambo mmoja baada ya mwingine ili kumonitor presha ya gesi kwenye bomba. Kazi hii itakamilika mwishoni mwa Oktoba ambapo tutakuwa tumewasha mitambo yote jumla ya megawati 335.
Nadhani bado hujatoa sababu za kisayansi kwanini umeme hautoshi na siku za nyuma ilikuwa inatosheleza??????
 
Mkuu umewauliza wafanyakazi wapi, shirika linamsemaji wake...... kwa nini usimuulize kupata ukweli.

Sio kila mfanyakazi ni msemaji wa TANESCO.

Ulishawahi kumuona Msemaji wa Shirika/Taasisi yoyote akitoa Habari hasi inayohusu Taasisi/Shirika analolisemea?
Hawa kazi yao si ni ya kukanusha tu chochote kinachosemwa kuhusu Taasisi/Mashirika yao hata kama ni cha kweli.
 
[FONT=Calibri,Arial,Helvetica,sans-serif][FONT=Calibri,sans-serif]kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya gesi ambayo ilisababisha upungufu wa umeme kwenye mikoa yote iliuongwa kwenye gridi ya taifa. Baada ya kuanza kuwasha mitambo hiyo Septemba 19, 2015 upungufu huo umeanza kuimarika kwa baadhi ya mikoa. Mitambo yote ya gesi iliyokuwa imezimwa haiwezi kuwashwa mara moja kwa kuwa kitaalam itafyonza gesi haraka na kuleta vacuum kwenye bomba lenyewe. Kumbuka bomba hili ni kubwa la nchi 36 na urefu wa kilometa 487. Hivyo Tanesco tunawasha mtambo mmoja baada ya mwingine ili kumonitor presha ya gesi kwenye bomba. Kazi hii itakamilika mwishoni mwa Oktoba ambapo tutakuwa tumewasha mitambo yote jumla ya megawati 335.[/FONT][/FONT]

Na zinatakiwa MW ngapi? Kukidhi mahitaji kwa Nchi zima?
 
Koleba:- Ukweli ni kwamba TANESCO inatimiza mataka ya waasiasa kwa kutosema ukweli maana Visima ya gesi haviko vya kutosha kwa sasa kufikia pressure ya above 60bars kwenye bomba la 36" ili angalau Symbion A itembee at 80%. Kinyerezi plant ndo kwanza piping hajakamilika maana wachina wa TPDC walikuwa hawana vifaa muhimu kama Isolation valves na 8" pipes na tunajua hawako tayari forany plant commissioning kwa sasa.
Kwa kifupi gas ya Mtwara kwa sasa inazalisha only 80MW badala ya expected 300MW kwa sababu ya matatizo ya kiufundi na kimikataba kati ya TPDC na wawekezaji na siyo swala la kuwasha Mitambo. Tell the truth t Tanznians please!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mbona TANESCO hawajatutangazia mgao wa umeme, pia mitaa ya kwetu umeme upo.
....Jamaa atakuwa anaishi Masaki coz huku uswazi (Kibosho Road) umeme unakatika Asubuni hadi saa 12jion,kisha saa 12:45jioni hadi saa 5 usiku.So natumia umeme dakika 45 kwa siku.Najiuliza hayo matengenezo yanafanyika wakati wa taarifa za habari tu?,..Wananikera sana siyo siri...
 
Hawa tuwawajibishe tarehe 25 Oct. kudanganywa tumechoka, tujaribu chama kingine tuone, wamezoea. Mwanzo Tanesco walisema umeme utakaa vizuri mwishoni mwa wiki ya kwanza ya Septemba, sasa tuko mwishoni mwa Septemba.
Wameanza kudai tena mwishoni mwa Octoba. Cha kushangaza kama kuna matukio ya CCM umeme unakuwepo. Tunajua kuunganisha moja na mbili. Tarehe 25 Oct. itakuwa kiama endeleeni kutuudhi, ili tukose huruma kabisa.
 
Mkuu umewauliza wafanyakazi wapi, shirika linamsemaji wake...... kwa nini usimuulize kupata ukweli.

Sio kila mfanyakazi ni msemaji wa TANESCO.
...kama wewe ni mfanyakazi wa TANESCO naoumba mbadilike kwa kweli sababu mnatuathiri vibaya sana...
 
Huo utakuwa ni uwongo wa kupitiliza, kwa kuwa tayari tulishaelezwa na Mkurugenzi wa TANESCO Mramba kuwa baada ya kukamilika kwa uungwanishaji wa bomba la gesi toka Mtwara na mitambo ya Kinyerezi na Ubungo kuwashwa na hivyo kuongeza megawati 330 kwenye gridi ya Taifa, mgao wa umeme utakuwa historia.

Sasa mgao wa umeme unaoendelea hivi sasa unazidi kuthibitisha pasipo shaka yoyote kuwa serikali ya CCM imekuwa ikitumia uwongo wa kutisha katika uendeshaji serikali yao.

Ndiyo maana kwa uwongo huu wa wazi waliousema watendaji wa TANESCO, ambalo ni shirika la Umma ndani ya serikali ya CCM kunaongeza sababu za wapiga kura wa nchi hii kuvitumia 'vichinjio' vyao vya kupigia kura hapo Oktoba 25 mwaka huu kuwang'oa toka madarakani hawa CCM ambao kipindi hiki cha miaka zaidi ya 50 ya kututawala, kimewafanya wawe wanelewa madaraka kupindukia.

Mkuu kwani wewe ulifikiri ni ukweli sababu walizotoa Tanesco ??
 
kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya gesi ambayo ilisababisha upungufu wa umeme kwenye Mikoa yote iliuongwa kwenye gridi ya taifa. Baada ya kuanza kuwasha mitambo hiyo Septemba 19, 2015 upungufu huo umeanza kuimarika kwa baadhi ya mikoa. Mitambo yote ya gesi iliyokuwa imezimwa haiwezi kuwashwa mara moja kwa kuwa kitaalam itafyonza gesi haraka na kuleta vacuum kwenye bomba lenyewe. Kumbuka bomba hili ni kubwa la nchi 36 na urefu wa kilometa 487. Hivyo Tanesco tunawasha mtambo mmoja baada ya mwingine ili kumonitor presha ya gesi kwenye bomba. Kazi hii itakamilika mwishoni mwa Oktoba ambapo tutakuwa tumewasha mitambo yote jumla ya megawati 335.
....Hiyo mitambo inazimwa wakati wa taarifa za habari tu..
 
Unapotokea mgao, TANESCO imekuwa na uharaka wa kuelezea. Mara husemwa kuna matengenezo kwenye njia za umeme. Mara husemwa kuna hitilafu kwenye mitambo ya sehemu fulani. Mara husemwa kuwa kuna maboresho na kadhalika.

Hivi karibuni, Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO Mhandisi Felchemi Mramba aliuambia umma wa watanzania kuwa mitambo ya umeme wa gesi kutoka Mtwara imewashwa na hivyo umeme kuwa wa kutosha Dar es Salaam na kwingineko. Bado mgao wa umeme unaendelea kwenye jiji la Arusha na hata hapa jijini Dar es Salaam pamoja na kuwashwa kwa mitambo hiyo ya umeme wa gesi.

Nawauliza TANESCO, mgao huu wa umeme unaoendelea nchini Tanzania unatokana na nini tena?
Nitafurahi kusikia jibu. Can you imagine katikati ya jiji (Dar es Salaam) umeme kukatika asubuhi Jumatatu siku nzima na usiku wake (24 hours and counting)!
 
kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya gesi ambayo ilisababisha upungufu wa umeme kwenye mikoa yote iliuongwa kwenye gridi ya taifa. Baada ya kuanza kuwasha mitambo hiyo Septemba 19, 2015 upungufu huo umeanza kuimarika kwa baadhi ya mikoa. Mitambo yote ya gesi iliyokuwa imezimwa haiwezi kuwashwa mara moja kwa kuwa kitaalam itafyonza gesi haraka na kuleta vacuum kwenye bomba lenyewe. Kumbuka bomba hili ni kubwa la nchi 36 na urefu wa kilometa 487. Hivyo Tanesco tunawasha mtambo mmoja baada ya mwingine ili kumonitor presha ya gesi kwenye bomba. Kazi hii itakamilika mwishoni mwa Oktoba ambapo tutakuwa tumewasha mitambo yote jumla ya megawati 335.
...Hili tatizo linaitwa Vacuum chemba analysis,na tumerifanyia upembuzi yakinifu kwa kina zaidi.Na liko under inspection capucha zone...
 
kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya gesi ambayo ilisababisha upungufu wa umeme kwenye mikoa yote iliuongwa kwenye gridi ya taifa. Baada ya kuanza kuwasha mitambo hiyo Septemba 19, 2015 upungufu huo umeanza kuimarika kwa baadhi ya mikoa. Mitambo yote ya gesi iliyokuwa imezimwa haiwezi kuwashwa mara moja kwa kuwa kitaalam itafyonza gesi haraka na kuleta vacuum kwenye bomba lenyewe. Kumbuka bomba hili ni kubwa la nchi 36 na urefu wa kilometa 487. Hivyo Tanesco tunawasha mtambo mmoja baada ya mwingine ili kumonitor presha ya gesi kwenye bomba. Kazi hii itakamilika mwishoni mwa Oktoba ambapo tutakuwa tumewasha mitambo yote jumla ya megawati 335.
Hili jibu kwetu sisi ni la kisanii! Je wamezima na mitambo ya IPTL, SYMBION na ya aina yake? Unawezaje kuwazimia watu umeme kwa zaidi ya masaa 24 mfululizo na ukatoa sababu dhaifu hii?
 
Kuna mtu anaamini kwamba gesi hii itatunufaisha? Mbona gesi ya kupikia inapanda bei kila siku? au hiyo gesi ya mtwara haina uhusiano na hii gesi ya kupikia??? CCM kwa uongo bwana! ndio maana hawaelewi kwa nini nchi hii ni maskini.
 
[FONT=Calibri,Arial,Helvetica,sans-serif][FONT=Calibri,sans-serif]kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya gesi ambayo ilisababisha upungufu wa umeme kwenye mikoa yote iliuongwa kwenye gridi ya taifa. Baada ya kuanza kuwasha mitambo hiyo Septemba 19, 2015 upungufu huo umeanza kuimarika kwa baadhi ya mikoa. Mitambo yote ya gesi iliyokuwa imezimwa haiwezi kuwashwa mara moja kwa kuwa kitaalam itafyonza gesi haraka na kuleta vacuum kwenye bomba lenyewe. Kumbuka bomba hili ni kubwa la nchi 36 na urefu wa kilometa 487. Hivyo Tanesco tunawasha mtambo mmoja baada ya mwingine ili kumonitor presha ya gesi kwenye bomba. Kazi hii itakamilika mwishoni mwa Oktoba ambapo tutakuwa tumewasha mitambo yote jumla ya megawati 335.[/FONT][/FONT]

Eti litakamilika baada ya uchaguzi haha
 
kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya gesi ambayo ilisababisha upungufu wa umeme kwenye mikoa yote iliuongwa kwenye gridi ya taifa. Baada ya kuanza kuwasha mitambo hiyo Septemba 19, 2015 upungufu huo umeanza kuimarika kwa baadhi ya mikoa. Mitambo yote ya gesi iliyokuwa imezimwa haiwezi kuwashwa mara moja kwa kuwa kitaalam itafyonza gesi haraka na kuleta vacuum kwenye bomba lenyewe. Kumbuka bomba hili ni kubwa la nchi 36 na urefu wa kilometa 487. Hivyo Tanesco tunawasha mtambo mmoja baada ya mwingine ili kumonitor presha ya gesi kwenye bomba. Kazi hii itakamilika mwishoni mwa Oktoba ambapo tutakuwa tumewasha mitambo yote jumla ya megawati 335.
Haya maelezo hayana mantiki yoyote.
 
Back
Top Bottom