Search results

  1. M

    Tulivyokuwa tukiiba almasi mgodi wa Mwadui na wenzetu kuuawa

    Hapo kweny sanamu Williamson bado wajaanza kuchimba almasi? Kwani uwanja wa ndege bwawa la maji yote vimeshavurugwa mpaka maeneo ya hospitali
  2. M

    Rungu la TCRA lazikumba kampuni 5 za simu, zatozwa faini 125ml

    Ile sheria ya flat rate ya kupiga simu kutoka mtandao mmoja kwenda nyingine mbona mmefumbia macho?
  3. M

    Kwanini wafanyakazi hatuna TIN numbers?

    Hapo ndg mchangiaji mada hii umejichanganya sana kwani makato ya mifuko ya jamii kila mfanyakazi anakuwa na namba ya utambulisho.Kwani nao TRA isitumie mfumo huo huo kama mifuko ya jamii?????????
  4. M

    Mfalme Suleiman (970-931BCE) ndie tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani

    Kwa hiyo Biblia imeandikwa uongo?
  5. M

    Familia ya CDF Mwamunyange: Yupo nje ya nchi kwa majukumu ya Kitaifa

    Hallo umetoka nje ya mada au mstari
  6. M

    Wanaomfuata Lowassa mnapoteza muda wenu, Magufuli anasubiri kuapishwa

    Heri ya shetani unayemjua kuliko malaika usiyemjua Kwa hiyo tumeamua kumkabithi mchawi mtoto alee mwenyewe!
  7. M

    Wanaomfuata Lowassa mnapoteza muda wenu, Magufuli anasubiri kuapishwa

    Vipi wewe akili yako haina kumbukumbu hata kidogo ya Esrow?
  8. M

    Wanaomfuata Lowassa mnapoteza muda wenu, Magufuli anasubiri kuapishwa

    Nakusikitikia sana kwani sasa hivi ni serikali ya nani iko madarakani mpaka viroba vinauzwa kama maandazi barabarani na kuharibu nguvu kazi ya TZ?
  9. M

    Wolper aiaibisha UKAWA kwa mafuriko feki

    Mbona unalazimisha maji ya mfereji kupanda kupanda mlima?
  10. M

    Mafuriko ya CCM Star TV Moshi ni fake

    Jana jioni walipomaliza kampeni nilikutana na kundi kubwa la wanafunzi wamevalishwa sare nyeupi wakaniambia kuwa kula ccm lala ukawa
  11. M

    CHASO kufanya maamuzi magumu leo Dar es salaam

    Chadema imenunuliwa na mtanzania mwenzetu lakini gesi yetu,madini wanyamapori wamenunuliwa na mchina ,mzungu na mwarabu
  12. M

    Twiga wanaoonekana kwenye mitandao ya kijamii na kudaiwa kuwa ni twiga wa Tanzania, Si kweli

    Serikali yenyewe haiwi wazi kwa wananchi wake leo tunaambiwa kuwa yule hakuwa twiga bali ni tembo
  13. M

    TANESCO, mgao huu una sababu gani tena?

    Nadhani bado hujatoa sababu za kisayansi kwanini umeme hautoshi na siku za nyuma ilikuwa inatosheleza??????
  14. M

    Zitto, Kafulila washambuliana

    Hivi kwa akili yako ndogo tuu nchi ikiwa na uongozi madhubuti inawezekanaje kwa ufisadi kutokea???????????
  15. M

    Yaliyojiri Tanga: Mkutano wa Mgombea wa CHADEMA, E. Lowassa - Septemba 28, 2015

    Hongera kwa kutetea buku 7 ya leo lakini hiyo ulioandika hapo juu mbona ni kinyume tunavyofahamu kuwa uchumi wetu uko taabani dola moja ya marekani ni tsh 2300 kwa hiyo fungua akili yako????????????
  16. M

    Ukweli ni kwamba Magufuli alikataa kata kata boti za Azam kwenda ziwa Victoria

    Sawa kule kenya walipitisha angani au barabarani ?
  17. M

    Magufuli muongo sana, kodi ya wafanyakazi P.A.YE ni 18%, na sio 11%, uongo huu

    Ndiyo lakini kuna hesabu ya awali ya kutoa sh107000 na (Y - 720000)*30%
  18. M

    Magufuli muongo sana, kodi ya wafanyakazi P.A.YE ni 18%, na sio 11%, uongo huu

    Nami nashangaa sana kuwa mfanyabiashara analipa kodi sh 150,000/= kwa mwaka wakati mfanyakazi analipa kwa mwezi mmoja kwa 150000*12=1,800,000 hii inauma sana
  19. M

    Watanzania ni ignorants au tumelogwa? Oktoba 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu?

    Wewe fungua akili yako kati rais na Lowasa ni nani mwenye mamlaka makubwa Jitambue kuanzia sasa wokovu ni sasa
Back
Top Bottom