Hapo ndg mchangiaji mada hii umejichanganya sana kwani makato ya mifuko ya jamii kila mfanyakazi anakuwa na namba ya utambulisho.Kwani nao TRA isitumie mfumo huo huo kama mifuko ya jamii?????????
Hongera kwa kutetea buku 7 ya leo lakini hiyo ulioandika hapo juu mbona ni kinyume tunavyofahamu kuwa uchumi wetu uko taabani dola moja ya marekani ni tsh 2300 kwa hiyo fungua akili yako????????????
Nami nashangaa sana kuwa mfanyabiashara analipa kodi sh 150,000/= kwa mwaka wakati mfanyakazi analipa kwa mwezi mmoja kwa 150000*12=1,800,000 hii inauma sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.