Mchunguze Sana mwanamke anayekuchunguza,utakuwa anafanya mambo mabaya kukuzidi anahisi unafanya km anavyofanya jilipue tu mtenda akitendwa huona kaonewa
Daaah huo mbona mtihani mkubwa Sana,hebu jaribu kuacha kulima mwaka huu uone kitakachoendelea km na shamba hawataki kwenda unapotezaje nguvu ya kulisha mijitu mikubwa namna hiyo looh
Pole mdada ndio ndoa zilivyo mkalishe chini muulize taratibu ulimuuliza kwa ukali ndio mana alikujibu vibaya,wanaume marijali ndio walivyo wanatamaa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.