Recent content by Martin Maranja Masese

  1. Martin Maranja Masese

    Mwigulu na TRC, kuhusu mkandarasi CCECC, tuzungumze kizalendo kidogo!

    Mwigulu, katika hotuba ya Bajeti kuu ya serikali, ukurasa wa 44, ulisema serikali imeanza mchakato wa kutafuta mkandarasi wa kujenga kipande cha SGR (Tabora-Kigoma) 514km kwa US$2.1 bilioni (Sh4.89 trillioni). Tulifahamu uliwapa kandarasi CCECC. 20/12/2022 serikali imesaini mkataba wa ujenzi wa...
  2. Martin Maranja Masese

    Mwigulu Nchemba, haipendezi Waziri wa Fedha na Mipango kuwa MUONGO

    Waziri wa fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba, leo akifanya mazungumzo ya kimkakati na CloudsTV amesema hakuna siku mtanzania yeyote ataombwa mchango kulipa deni la Taifa. Mwigulu Nchemba, anatajwa kuwa msomi wa uchumi labda haelewi au ana kiburi au dharau au anapotosha umma kwa makusudi kwa...
  3. Martin Maranja Masese

    “Harufu Mbaya ya Upigaji Mradi wa Kufua Umeme wa Bwawa la Nyerere”

    Ujenzi bwawa la Nyerere (JNHPP-MW2115) unagharimu Sh6.5 trilioni. CAG alipokwenda kukagua alikuta ujenzi umechelewa kwa 46.5%. Ujenzi ulitakiwa kukamilika June 2022, hadi sasa ujenzi upo 67%. Mkandarasi kalipwa (69.5%) fedha yake yote (Sh4.3 trilioni). Kuna mzozo wa Serikali na mkandarasi...
  4. Martin Maranja Masese

    “Tumesikia Kuhusu Ajali ya Precision Air, Wazembe Wawajibishwe”

    April 2021, Egypt, Mkuu wa Shirika la Reli la nchi hiyo ya kaskazini mwa Baraa Afrika, alijiuzulu baada ya kutokea ajali ya treni. Ajali hiyo iliyotokea jioni katika mji wa Banha katika mkoa wa Qalyubia, ikapelekea kuuawa watu wasiopungua 16 na kujeruhi wengine 98. Waziri wa Usafirishaji wa...
  5. Martin Maranja Masese

    Mgao wa umeme, January Makamba umejipima, unatosha?

    Matarajio ya watanzania wengi, haswa waliounganishwa katika gridi ya Taifa ilikuwa ni kusahau kabisa adha ya mgao wa umeme, Baada ya kujengwa kwa bomba la gesi kutoka Mtwara Dar es Salaam lililogharimu TZS 2.3 Trilioni. Lakini hadi sasa mgao wa umeme umekuwa mkali sana. Mwaka 2015, Rais Jakaya...
  6. Martin Maranja Masese

    Mwigulu, tuzungumze kizalendo kidogo! Bajeti na Janja ya CCECC

    Mwigulu, tuzungumze kizalendo kidogo! Bajeti kuu ya serikali, hotuba yako, ukurasa wa 44, unasema serikali imeanza mchakato wa kutafuta mkandarasi wa kujenga kipande cha SGR (Tabora-Kigoma) 514km kwa US$2.1 bilioni (Sh4.89 trillioni). Wakati tunajua umewapa kandarasi CCECC. Katika mfumo wa...
  7. Martin Maranja Masese

    “Ndugu Nape Nnauye, wananchi hatuna pesa za kuwapa, hatuna, msitusumbue tafadhali, tuhurumieni!”

    Ndugu Nape Nnauye, ACHENI kuwaghasi watanzania MASKINI. Gharama za kuweka VIBAO na NGUZO za anuani za MAKAZI zinapaswa kuwa za WIZARA ambayo wewe ndiye waziri hapo. Hizi porojo za kuwachangisha wananchi ELFU KUMI NA TATU zao ni sawa na UTAPELI. ACHA mara moja. Umetangatanga angani na CHOPA...
  8. Martin Maranja Masese

    “Zabuni za ‘michongo’ za wachina wa SINOHYDRO Corporation LTD na CCECC”

    SINOHYDRO Corporation LTD wamepewa zabuni kujenga mradi wa mwendokadi BRT-3 Gongo la Mboto-Kariakoo (23.6km) kwa $148.1M na wamepewa zabuni hiyo bila ushindani (single source), wakati ujenzi wa BRT 2 (Gerezani -Mbagala) 20.3km wamejenga chini ya kiwango. Hawa wachina wameturoga? Zingatia, huo...
  9. Martin Maranja Masese

    “Dkt. Anna Peter Makakala kuendelea kuwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji ni kubariki uhujumu uchumi”

    Jumapili, 12/2/2017 Rais wa Tanzania wakati huo Dkt. John Magufuli alisema sababu ya kuteua mwanamke katika nafasi ya Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, kuwa wanawake wengi ni waaminifu katika suala la fedha. Moja kati ya maagizo makubwa wakati anateuliwa Dkt. Anna Peter Makakala lilikuwa ni...
  10. Martin Maranja Masese

    Mwigulu Nchemba na mkandarasi, China Civil Engineering construction corporation biashara yenu ina harufu mbaya

    Mwigulu Nchemba, mmeingia makubaliano ya awali na kampuni ya China Civil Engineering construction corporation kwa utaratibu wa single source (bila ushindani) yenye thamani ya Shs. 6,698,935,255,040.00 kwa utaratibu wa manunuzi wa moja kwa moja ‘single source’ bila ushindani. Mkandarasi China...
  11. Martin Maranja Masese

    "Bashe, michoro ya kilimo iondoke katika karatasi, twende katika Utekelezaji"

    Upatikanaji pembejeo Teknolojia duni za Kilimo Utekelezaji bajeti ya kilimo Kilimo cha kutegemea Mvua Ukosefu wa Huduma za Mikopo Unafuu upatikanaji zana za kilimo Uhaba wa mafunzo ya kilimo bora Ukosefu wa masoko kwa shughuli za Kilimo Malizeni hayo, ndiyo mwage sifa kwa Hussein Bashe kwamba...
  12. Martin Maranja Masese

    Nape, wakati huu wa mdororo wa uchumi tulipaswa kubana matumizi, usitumie chopa ya JWTZ ni gharama

    Airbus Helicopters H225 ina horsepower 1,820, inatumia mafuta ya Jet-A1. Wastani inakunywa 540 us liquid gallons/hour=2,044.122 litres/hour. Gharama za kujaza pale JNIA ni US$3.612 (Shs. 8,390.87) per Gallon in USD. Zingatia 1 us liquid gallon=3.785 litres leo. Piga hesabu zako. Hivyo kwa saa...
  13. Martin Maranja Masese

    Magufuli alichelewa kuwa Rais wetu

    "JPM ALICHELEWA KUWA RAIS WETU" Tulitakiwa kuwa na JPM kabla ya miaka 20 iliyopita. Magufuli alichelewa kuwa Rais wetu kwa katiba ya kifalme/kisultan tuliyonayo. Miaka 5 na miezi 5 ilituonyesha rangi za udikteta. Ingawa rangi hiyo haikufika kwa mtu mmoja mmoja, wapo walioguswa Bado tulihitaji...
  14. Martin Maranja Masese

    Uvumilivu katika Siasa

    Anakuja Kuchukua Siri gani na kupeleka wapi kwa ajili ya Nini? Hebu tufundishe!
  15. Martin Maranja Masese

    Uvumilivu katika Siasa

    UVUMILIVU katika SIASA! "Nimekwenda CCM mnaniona sijarudi na vietee, nimerudi na makovu na pengo la kupoteza jino langu" - Elia Michael Vijana tujipe muda wa kujifunza kwa wenzetu waliofanikiwa katika siasa wakiwa upinzani. Siyo lazima kuhama vyama ili uwe mwanasiasa mahiri Binadamu wanapenda...
Back
Top Bottom