“Ndugu Nape Nnauye, wananchi hatuna pesa za kuwapa, hatuna, msitusumbue tafadhali, tuhurumieni!”

Apr 24, 2011
29
542
Ndugu Nape Nnauye, ACHENI kuwaghasi watanzania MASKINI. Gharama za kuweka VIBAO na NGUZO za anuani za MAKAZI zinapaswa kuwa za WIZARA ambayo wewe ndiye waziri hapo. Hizi porojo za kuwachangisha wananchi ELFU KUMI NA TATU zao ni sawa na UTAPELI. ACHA mara moja. Umetangatanga angani na CHOPA ambayo kwa saa moja tu ilikuwa inatumia Shs. 5M (vipi kwa siku 30, ulitumia shilingi ngapi za umma?), hizo FEDHA ulizotumia hovyo kwa jina la ‘uhamisishaji’ tungeziweka katika nguzo na vibao. USITUSUMBUE. Hatuna fedha za michezo haramu. #MMM
IMG_2529.jpg
 
Ndugu Nape Nnauye, ACHENI kuwaghasi watanzania MASKINI. Gharama za kuweka VIBAO na NGUZO za anuani za MAKAZI zinapaswa kuwa za WIZARA ambayo wewe ndiye waziri hapo. Hizi porojo za kuwachangisha wananchi ELFU KUMI NA TATU zao ni sawa na UTAPELI. ACHA mara moja. Umetangatanga angani na CHOPA ambayo kwa saa moja tu ilikuwa inatumia Shs. 5M (vipi kwa siku 30, ulitumia shilingi ngapi za umma?), hizo FEDHA ulizotumia hovyo kwa jina la ‘uhamisishaji’ tungeziweka katika nguzo na vibao. USITUSUMBUE. Hatuna fedha za michezo haramu. #MMM View attachment 2246188
Nape ni chadema damu , mmalizane huko huko

USSR
 
Wala hana habari, yupo tu anamshukuru Mungu aliingilia kati akawapa nafasi ya kuendelea kulamba asali. Nape ana degree ya uropokaji, lakini utendaji ni sifuri, ajabu wakitumbuliwa wanaona wanaonewa.
 
Hizi pesa huko Halmashauri watu watazipiga sana.

Tena risiti za kucharaza kwa mkono, Mbona Twafa.
 
Ndugu Nape Nnauye, ACHENI kuwaghasi watanzania MASKINI. Gharama za kuweka VIBAO na NGUZO za anuani za MAKAZI zinapaswa kuwa za WIZARA ambayo wewe ndiye waziri hapo. Hizi porojo za kuwachangisha wananchi ELFU KUMI NA TATU zao ni sawa na UTAPELI. ACHA mara moja. Umetangatanga angani na CHOPA ambayo kwa saa moja tu ilikuwa inatumia Shs. 5M (vipi kwa siku 30, ulitumia shilingi ngapi za umma?), hizo FEDHA ulizotumia hovyo kwa jina la ‘uhamisishaji’ tungeziweka katika nguzo na vibao. USITUSUMBUE. Hatuna fedha za michezo haramu. #MMM View attachment 2246188
Lakini mbona stakqbadhi juu inaonesha kuwa ni elfu kumi na tatu. Lakini hapo chini mbona imeandikwa 1300/=?
Aisee hivi kweli watanzania mnapesa za kuchezea yani unachukua pesa yako kwenda kununua kibao hahaha
Hela ya Nape Nnauye kuzunguka nchi nzima na chopa ilikuwepo ila ya kugawa bure vibao kwa wananchi hakuna aiseeee
 
Mkuu, ulishafanya retirement ya mamia ya mamilioni iliyokuwa unalipwa kwa kisingizio Cha kuripoti kesi ya Mbowe twitter?

Ukanogewa na wewe ukaanza kuchangisha mapopoma ya Chadema, na mpaka leo hujayaambia ulikusanya shilingi ngapi
 
Na biashara yako ya Kibanda Cha kuuza makava ya simu na protekta kinatupigia kelele, vile vispika ulivyowekea memory kadi umerekodi sauti yako, ni KERO,
 
Mimi nasema hivi, acheni tukamuliwe maana mlikuwa mnashangilia sana baada ya tukio.

Acheni watu walambe asali watakavyo.
 
Back
Top Bottom