Uhusiano wa Tanzania na Israeli unauhusishaje na Ukatoliki? hili ni suala la kisiasa 100% na wala hakuna udini. Ni muhimu kujadili haya masuala kisiasa na pale unapohitaji ufahamu wadau watatoa maoni yao kulingana na hoja
kuna system inaweza kuwa juu ya wananchi au watu walioiweka? Suala la kuivuruga system ni kujidanganya kuwa kwa kuwepo madarakani unaweza kwenda kinyume na mapenzi ya watanzania alafu ukafanikiwa. New order, new country, new vision after 25th october
katika kuhakikisha dhana ya UKAWA inadumishwa nadhani hayo yanayofanyika yapo sawia, suala halikuwa lazima wote watoke cdm bali maridhiano yawepo kuhakikisha kuna dhana ya ushirikishwaji wa wadau muhimu
Utashi wa kisiasa umekosekana na ndipo haya tunayoyaona yameota mizizi sasa. Pamoja na CCM kuwa na watu wazuri ambao wangeweza kuwa hazina kiuongozi kwa nchi hii kwa kipindi kirefu kijacho, watawala wanaendesha nchi kwa fitina, kiujanjajanja, makundi, kifamilia na chuki na hapo ndipo jahazi...
Hili sio suala la siasa ni kwamba Pengo kachemka sana haiwezekani maamuzi yafanyike na taasisi alafu wewe uje kuyakana kwa sababu tu mawazo yako hayakukubalika. kiongozi mzuri ni yule ambaye anasikiliza hata pale ambapo hoja zake dhaifu hazikupenya kwenye kikao. (institutionalization). sababu ya...
Uwezo mdogo wa kufikiri pamoja na kushindwa kutumia akili katika kupembua mambo. Tanzania aihitaji kiongozi wa kwenda misibani. Zama hizo zimepita na mstokeo ya viongozi wenye upeo finyu ni kutopiga hatua kwenda mbele
Changamoto kubwa kwa wakopaji wengi ni kukosa mpango madhubuti wa matumizi ya mkopo. Hili linatokana na kutoandaliwa kwa business plan pamoja na financial projections ambapo makisio ya mapato na matumizi unakuwa nayo hata kabla ya mkopo wenyewe. Laiti ukifanya hivi suala la kutoa takrima au...
"Waasisi wa taifa hili waliacha nchi moja serikali mbili lakini sasa kuna nchi mbili serikali mbili" walioachiwa walikuwa wapi yakitendeka haya? walioapa kuitetea katiba walifanya nini hadi haya yakatokea? wawakilishi wa wananchi walifanya nini baada ya kuona katiba inavunjwa au imevunjwa? kura...
Katika masuala ya maendeleo maamuzi mazito kama hayo hayakwepeki. la muhimu ni kuwa haki itendeke hivyo kwa kuwa fedha za kuwalipa zipo basi kazi iendelee kwa kasi zaidi
Washington state sells 2 ferries to Tanzania
The Kalama and the Skagit ferries tied up at Vallejo.
Enlarge this photo
STEVE PICKENS
The Kalama and the Skagit ferries tied up at Vallejo.
The state finally has sold two of its discarded passenger-only ferries, the Kalama and the Skagit, to the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.