alteza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 209
- 53
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh.Bernard Kamillius Membe ameshiriki kikamilifu katika kuomboleza msiba wa mama mzazi wa Dk.Hoseah ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru.
Ni kawaida yake Waziri Membe kushiriki kikamilifu katika matukio ya kijamii.
Amekuwa akipongezwa kwa moyo wake wa kusaidia jamii bila kujali cheo,umri,kabila,rangi au hali.
Amenukuliwa mmoja wa waombolezaji akisema kuwa hii ni mara yake ya 29 anakutana katika matukio tofauti ya kijamii na Mh.Membe na amekuwa kivutio cha watu kila aonekanapo mbele ya macho ya jamii.
Waziri Membe baada ya kufika msibani alisaini kitabu cha waombolezaji na kisha kwenda kutoa rambirambi na salamu za pole kwa waliokuwa msibani.Hivi ndivyo jamii ipendavyo.
Inapenda kiongozi anayejishusha kwa wananchi na jamii yote kwa kushiriki masuala yao iwe katika shida au raha.
Ni kawaida yake Waziri Membe kushiriki kikamilifu katika matukio ya kijamii.
Amekuwa akipongezwa kwa moyo wake wa kusaidia jamii bila kujali cheo,umri,kabila,rangi au hali.
Amenukuliwa mmoja wa waombolezaji akisema kuwa hii ni mara yake ya 29 anakutana katika matukio tofauti ya kijamii na Mh.Membe na amekuwa kivutio cha watu kila aonekanapo mbele ya macho ya jamii.
Waziri Membe baada ya kufika msibani alisaini kitabu cha waombolezaji na kisha kwenda kutoa rambirambi na salamu za pole kwa waliokuwa msibani.Hivi ndivyo jamii ipendavyo.
Inapenda kiongozi anayejishusha kwa wananchi na jamii yote kwa kushiriki masuala yao iwe katika shida au raha.