Recent content by Magenyi Nshekela

  1. M

    Je ni vizuri kutumia Antvirus zaidi ya moja kwenye simu ?

    Assalam aleykum waungwana. Naomba kujua kama kutumia antvirus zaidi ya moja kwenye simu kunaweza kuleta madhara.
  2. M

    play store

    Nili uninstall kwa Bahati mbaya play store kwenye simu yangu kila ninapojaribu kuirudisha kupitia moboginie inakataa.Naomba msaada wenu.
  3. M

    Wadau yamenikuta, chonde msaada wenu tafadhari

    we mgonjwa wa kuajiriwa?kama una elimu si vyeti kajiajiri.
  4. M

    Nimekuwa mtumwa katika mapenzi

    Achana name kuoa kasome miaka 26 bado mdogo.
  5. M

    KAWAMBWA.Shule za serikali zinachukua wanafunzi makapi.

    Kawambwa ana Matatizo ya Ufikiri, wao kama wizara ya elimu ndio wanaosababisha shule za serikali zionekane hazifai. kwa kiasi kikubwa wanafunzi wanaosoma shule za serikali hawana mazingira mazuri ya kusoma. Mfano walimu wengi wa shule za serikali wengi wao wana DIV III au DIV IV katika majibu...
  6. M

    KAWAMBWA.Shule za serikali zinachukua wanafunzi makapi.

    Waziri Kapi ndio matokeo hayo anatoa tathimini kapi.
  7. M

    Hivi hata tecno telecommunication wapo ktk mobile world congress kule barcelona?

    Kuna ugomvi usio na maana hivi kuna haja ya kupambana kws ajili ya simu ya mwenzio.we we tumia iPhone yako Mimi tecnp yangu site tunafsidi jf
  8. M

    msaada tutani-TECNO P5

    Your SD card is collapse. You should format it.
  9. M

    Kucheza na Jeneza.

    Kama ingekuwa Ulaya hata sisi tungeanza kesho.
  10. M

    Website ya chama cha walimu tanzania

    Nyie watoto mbona kelele,kuwa na cheti au sijui hizo zenu feki havina uhusiano. web ya CWT hii hapa.Chama Cha Walimu Tanzania
  11. M

    Msaada kutuma mms

    Ndugu zangu naomba nisaidiwe,kila ninapotuma MMS na Audio message zina fail natumia simu NOKIA X2-01 na tumia mitandao AIRTEL/VODACOM.
  12. M

    Hivi nini source ya senene??

    WanaJF naomba nijulishe wadudu aina ya senene hutokea wapi?Maana hapa kwetu Bukoba hutokea kwa musimu nyakati nyingine hawaonekani.Huko wanakokuwa karibu miezi 6 ni wapi wanakula nini wanazaana vipi.Sina shaka nitapata majibu mwafaka.
  13. M

    Namlilia Julius Mtatiro...

    Hivi Wilfred Rwakatare yuko wapi?
Back
Top Bottom