hata mimi niliacha mpaka sasa ni mwaka na miezi kazaa,nilipoanza kuacha miezi miwili ya kwanza nilifanya mazoezi makali asubuhi na jioni na kweli ilikuwa inasaidia kuondoa ham ya kuvuta sigara kabisa pamoja nna tendo la ndoa baada ya miezi miwil ham iliondoka kabisa hata bila ya kufanya mazoezi...
wadau galaxy tab nilionayo yenye namba GT-P6201 ambayo inatumia firmware 3.2 android version,hili lilikuwa toleo maalum kwa German,sasa ninapotaka kui-update kies zake zinakuwa hazipo sasa swali langu ni hili je nikiifanyia rooting itakubali updates za GT-P6200 au GT-P6210 za galaxy tab aina...
Sio kweli kuwa ndege ya rais haiwezi kupaki Dodoma kwanza faham kuwa ndege iliyokuja jana Dodoma na kwenda shinyanga ni tofaut.
jana n F28 5H CCM na leo F50 5H TGF na ya leo inalala kwa ajili ya kumpeleka PM Arusha na kumrudisha Dom tena na kurudi Dar ikiwa Tupu lakini pia kuna ratiba nyingi...
mwingine hapo msibani kwa mama rhoda akamuliza mtarime msara ajisaidie alipoonyeshwa akaenda akakuta wameandika wanaume akarudi kumuliza mtarime mbona kuna wa wanaume tu akajibiwa"nennda kakojoe nani kakwambia kuna mukojo wa kiume na mukojo wa kike acha kusumbua watu"
Nimejalibu kutafakali kiundani ila sijapata jibu aidha la kimaumbile au la kisayansi kwa nini viungo ambavyo viko pair ktk miili yetu haviko sawa ktk uwezo,kwa mfano wa mkono wakulia hauwezi kufanya kazi sawa na wa kushoto na hata mtu akiwa anatumia kushoto basi kulia utakuwa dhaifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.