Msaada jamani,
Natafuta nyumba ya vyumba 3, nzuri au apartment Tabora mjini isiyozidi 2.0M, mwenye nayo au anijulishe please! Hela hiyo ni kwa mwaka.
Kimoja self, iwe na Uzio na usalama wa kutosha!
Upo sahihi!Napinga ushoga ila daktari kaudharirisha udaktari!Uwazi c hitimisho la kuingiliwa!Watoe video tu waachane na mambo ya ramadhani liwe hitimisho mahali kokote duniani uwazi c hitimisho may be immediately wangekuta sperms!
Mh!Uongo mtupu,Mhaya na samaki wapi na wapi!Visiwa vyote vya Muleba kama bunbile wamejaa wakerewe,wajita,wasukuma,kifupi wabaya hawajui samaki na hawajui kupika,wavivu wanasubiri ndizi na maharage,na kuuza kahawa na K,ndo maana ukienda hata Q bar,unapata K ya miatano
Unafeli wapi wewe,wale ni binadamu,tushawabandua wengi,ukimba Dua hakua hi ngo kwanza Wana Minato hatari na anaisikilizia mwisho,kiukweli ndo anakuwa ameuona ufalme was Mungu amin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.