hapa ndio sehemu ya watu kuchangamkia fursa.......
bofya link ifuatayo kujifunza namna ya kutengeneza mifuko mbadala https://chat.whatsapp.com/FDCbyQBF9mYFSQ28FLDcA0
Nina wazo la kufungua gazeti langu litalohusisha mambo ya kijamii,siasa,michezo na burudani pamoja mambo mengine mbali mbali ya kitaifa na kimatifa.Nataka kufahamu,he natakiwa kuwa na mtaji wa kiasi gani?
Pili kuna utaratibu gani hufuatwa kwenye usajili wa gazeti?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.