Vijana simu zao zimejaa ponografia na mambo ya zinaa, hazina mambo ya msingi wala mawasiliano ya maana ndiyo maana wanafikia kuwaza hivyo.
Mtu mzima ambaye simu ni sehemu ya ofisi na majukumu ya kikazi, hawezi hata kufikiria upuuzi kama huu.
Jisimamie kama mwanaume. Vaa pendeza, nenda ibadani utakutana na mabinti wazuri wanaofaa kuoa. Katongoze unayemtaka. Huo ndiyo uanaume. Siyo kubweteka na kutaka KUTAFUTWA.
Acha hizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.