Uliyeoa/kuolewa: Je, unaweza kubadilishana simu na huyo mwenza wako japo kutwa moja tu?

Kuna classmate wangu tunaitanaga majina ya kimahaba akiwa na shida huwa namsave then baadae anarudisha. Siku hyo kidali changu kaniomba hela 15k amtumie mdogo wake yupo chuo nikamwambia sina, kasema anaomba simu angalie salio haniamini mi wakukosa 15k. Kwa kujiamini nikampa, Ghafla mesej imeingia hun asante nimeipata 100k luv u kwa sana. Sina mengi yakusema ila kila mtu alishika njia yake tumebaki maX tu saiv. Siku nikiwa hoi kitandani ndio kisimu changu nitampa mtu.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Tayar
Tayar na nini,,,,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mbona una niandama πŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Tayar na nini,,,,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mbona una niandama πŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
wewe sasa n wa kuchapwa fimboπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ haya mambo wanafanyaga wale immatured...

Ila kuna mda haya mambo unaona hayana maana.

Tukirudi kwenye mada.
Simu yangu yeye anashika sana ila sio kubadilishana kwa siku nzima.

Yake mara nyingi natumia maana yeye akirudi kazini huwa kachoka mno hivo huwa ananiachia kwa ajiri ya ku hotspot Pc nifanye kazi....

Simu za mashangazi hazina mambo mengi zaidi zaidi utakuta call za wanae.

Kwa ujumla naweza kukaa na simu yake hata siku tatu ila kinachofanya iwe ngumu ni simu ya kazi. Kazi..
Simu ya kazi Kazi πŸ€”
 
Yani wewe ubaki na simu yake hlf akupe yake kwa KUTWA MOJA tu.
eti wakuu?

inawezekana au tuwaache kwanza?

maana wengine hamkawii kudai tunawaonea wivu
Kuna kipindi niliwai kutoka na mapovu bafuni..

Wife alikua anapenda kusoma meseji zote na kuangalia missed call na charts zoteee

Nikiwa usingizi I nimelala then kesho take ana Anza Nichora na kuni zoom aisee kwenye Hilo Ni next level kazi nilio kua nayo ili Ni expose na wanawake wengi 😊 plus ngozi , color, height, mwonekano wakuvutia kwa yeyote anae nitazama..

Kwa Sasa tumesha vuka ujana namwachiaga wiki nzima hata Sina pressure yeyote nipo main stream 😊😊
 
Back
Top Bottom