Recent content by Katung'a

  1. Katung'a

    Wakati ni sasa, Katiba mpya ni muhimu. Je, kwa harakati hizi tutapata Katiba sahihi?

    Kumekuwepo na ushinikizwaji wa kupatikana kwa Katiba mpya ambao umekuwa ukiendelea kufanywa na kundi kubwa la wanaharakati wakiongozwa na chama la wana CHADEMA huku chama cha mapinduzi (viongozi na Baadhi ya wanachama) wakionyesha kutokua tayari kwa kipindi kushiriki katika mchakato mzima wa...
  2. Katung'a

    Je, umewahi kutafakari baada ya kuondoka kwako duniani?

    Kikubwa tusiache kuombea mwisho mzuri
  3. Katung'a

    Lecturer UDSM azawadiwa na Wanafunzi

    Ndicho walicholenga. Mambo yakiwa magumu unatafuta kilainishi
  4. Katung'a

    eMALALAMIKO: Mfumo huu wa kuwasilisha malalamiko serikalini utatekeleza majukumu kusudiwa?

    Tutizame eneo la malalamiko kama pongezi na obsession havina Tija kwetu. Ingawa wakati mwingine hizo ni motisha kwa watendaji wa serikali.
  5. Katung'a

    eMALALAMIKO: Mfumo huu wa kuwasilisha malalamiko serikalini utatekeleza majukumu kusudiwa?

    Ndo mfumo mpya tujipe muda kidogo pengine watafanya vizuri.
  6. Katung'a

    eMALALAMIKO: Mfumo huu wa kuwasilisha malalamiko serikalini utatekeleza majukumu kusudiwa?

    Ingia playstore search 'e-Malalamiko' utaikuta hiyo app
  7. Katung'a

    eMALALAMIKO: Mfumo huu wa kuwasilisha malalamiko serikalini utatekeleza majukumu kusudiwa?

    Juzi katika nilikuwa naongea na Mkurugenzi wa halmashauri fulani akanambia maafisa utumishi wana roho mbaya sana hawapendi kuona watumishi mambo yao yanaenda poa
  8. Katung'a

    eMALALAMIKO: Mfumo huu wa kuwasilisha malalamiko serikalini utatekeleza majukumu kusudiwa?

    K kwamba maafisa utumishi mishahara yao ni midogo kuliko watumishi wengine? Ufafanuzi tafadhali
  9. Katung'a

    Teacher's Resources Center ni lini zitafufuliwa?

    Huwezi kupunguza umuhimu kwa mambo usiyoyapenda?
  10. Katung'a

    Teacher's Resources Center ni lini zitafufuliwa?

    Hivi ni vituo vya walimu ambavyo vimekua vikitumika kuwasaidia walimu kuendana na wakati kwa kupitia matini mbalimbali, vimetumika kuwakutanisha walimu pamoja na kupeana uzoefu kusoma vitabu pamoja nk lakini kwa sasa vingi havitumiki na havina vitabu vinavyoendana na wakati. Walimu wanafundisha...
  11. Katung'a

    eMALALAMIKO: Mfumo huu wa kuwasilisha malalamiko serikalini utatekeleza majukumu kusudiwa?

    Iko sehemu ambayo inakuruhusu kutuma bila kutambulika wewe ni nani, so unatupa bomu lako then unasepa unawaacha wanahangaika lkn upande wako umewapa ukweli
  12. Katung'a

    eMALALAMIKO: Mfumo huu wa kuwasilisha malalamiko serikalini utatekeleza majukumu kusudiwa?

    Nafikiri kwa watendaji wa serikalini maafisa utumishi wana roho mbaya sana
  13. Katung'a

    eMALALAMIKO: Mfumo huu wa kuwasilisha malalamiko serikalini utatekeleza majukumu kusudiwa?

    Unamuachia kama ni malalamiko pongezi nk then unapewa namba ya malalamiko yako kisha utafuatilia kupitia namba hiyo. Ni mfumo mzuri kama watakua wanarudisha feedback
Back
Top Bottom